Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Ajichanganye Sasa aone.... Siku hizi kanuni za utumishi zinamuelekeza muajiri KUKURUDISHA IWAPO TU KUNA UHITAJI/ULAZIMA ... Unaweza kukaa benchi mpaka ukome...Labda uandike barua kwa mkurugenzi ukiomba rikizo ya mwaka bila ya kulipwa mshahara,ruhusa hii ipo kwa wafanyakazi wa serikalini hasahasa walimu
We ni dalali auKuna wewe af Kuna Mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ajira Sina biashara Sina na naishi
Ambao hawana biashara au ajira wote ni madalali?We ni dalali au
Yan hulipwi mshahara mwaka mzima au?Labda uandike barua kwa mkurugenzi ukiomba rikizo ya mwaka bila ya kulipwa mshahara,ruhusa hii ipo kwa wafanyakazi wa serikalini hasahasa walimu
Pole sana kwa changamoto zinazokukabiliNiliajiriwa 2014 kwenye sector ya elimu(mwalimu),nimepambana na maisha ya utafutaji Si haba Mungu kanisaidia nimefanikiwa kupata mtaji kiasi,nimefungua maduka mawili,duka la mahitaji ya nyumbani jumla na rejereja na la pili ni duka la simu,vifaa vya umeme na huduma za fedha mtandaoni((mpesa,tigo pesa n.k).
Duka Moja anasimamia make wangu na la pili nimeajiri vijana watatu,NAMI nikitoka kazini huwa naingia kazini kusaidia duka mojawapo,katika kufanya kazi huko nakumbana na changamoto nyingi.
Kukosa uaminifu kwa vijana,usimamizi hafifu wa kazi,kupitia changamoto hizi naona ukuaji wa biashara ya Si kama vile ninavyotegemea na hili naliona hasa kipindi Cha likizo nikiwepo mwenyewe biashara yangu huwa inaimarika sana.
KWENU WAUNGWANA;Kuna muda nawaza kusitisha ajira yangu nijikite katika biashara kwani kupitia huko ntajikwamua kiuchumi zaidi,Si Kwa kudharau ualimu la hasha kwani kupitia ualimu ndo nimepata mtaji Bali ualimu huu naona hautanisaidia kufanikiwa zaidi,huwezi kuajiri mtu akutafutie million 100 ww ukabaki unatafuta laki 6 ya ualimu.
Kila ninapofikiria kuacha kazi napata mkwamo mkubwa wa mawazo,lkn pia napata msongo mkubwa wa mawazo Kwa kutotimiza majukumu yangu ya ualimu vizuri,mara nyingi natoroka kazini Kwa kifupi sitekelezi majukumu yangu ipasavyo na ni dhambi kubwa naifanya,Kwa wanaoujua ualimu vizuri Ili utekeleze majukumu Yako yote hautaweza kujihusisha na shughuli zingine.
Mliofanikiwa kuacha kazi na kujiajiri mlitumia mbinu gani,msaada tafadhari Ili nijikwamue kutoka katika hili
Biasahara mzee ni risk na haina security kama ilivyo kwenye ajira., ukiamua kuwa mfanyabiashara lazima uwe risk taker.Niliajiriwa 2014 kwenye sector ya elimu(mwalimu),nimepambana na maisha ya utafutaji Si haba Mungu kanisaidia nimefanikiwa kupata mtaji kiasi,nimefungua maduka mawili,duka la mahitaji ya nyumbani jumla na rejereja na la pili ni duka la simu,vifaa vya umeme na huduma za fedha mtandaoni((mpesa,tigo pesa n.k).
Duka Moja anasimamia make wangu na la pili nimeajiri vijana watatu,NAMI nikitoka kazini huwa naingia kazini kusaidia duka mojawapo,katika kufanya kazi huko nakumbana na changamoto nyingi.
Kukosa uaminifu kwa vijana,usimamizi hafifu wa kazi,kupitia changamoto hizi naona ukuaji wa biashara ya Si kama vile ninavyotegemea na hili naliona hasa kipindi Cha likizo nikiwepo mwenyewe biashara yangu huwa inaimarika sana.
KWENU WAUNGWANA;Kuna muda nawaza kusitisha ajira yangu nijikite katika biashara kwani kupitia huko ntajikwamua kiuchumi zaidi,Si Kwa kudharau ualimu la hasha kwani kupitia ualimu ndo nimepata mtaji Bali ualimu huu naona hautanisaidia kufanikiwa zaidi,huwezi kuajiri mtu akutafutie million 100 ww ukabaki unatafuta laki 6 ya ualimu.
Kila ninapofikiria kuacha kazi napata mkwamo mkubwa wa mawazo,lkn pia napata msongo mkubwa wa mawazo Kwa kutotimiza majukumu yangu ya ualimu vizuri,mara nyingi natoroka kazini Kwa kifupi sitekelezi majukumu yangu ipasavyo na ni dhambi kubwa naifanya,Kwa wanaoujua ualimu vizuri Ili utekeleze majukumu Yako yote hautaweza kujihusisha na shughuli zingine.
Mliofanikiwa kuacha kazi na kujiajiri mlitumia mbinu gani,msaada tafadhari Ili nijikwamue kutoka katika hili
Biashara zote zinahitajj usimamizi madhubuti..kuacha biashara inayokuingizia faida ili ubadir kwangu sio salama pia..Kama ....ukiwa na fikra za uoga namna hii biashara huwezi fanyaaaKama unafanya kazi serikalini, Usithubutu kuacha kazi. Baada ya Samia anaweza kuja mvurugaji akaua uchumi. Ni Bora ubadili biashara utafute unayoweza kuifanya bila usimamizi wako wa moja kwa moja.
Naunga mkono hojaaBiasahara mzee ni risk na haina security kama ilivyo kwenye ajira., ukiamua kuwa mfanyabiashara lazima uwe risk taker.
Inatakiwa uisikilize kwanza nafsi yako kabla hujapata ushauli wetu, kisha unakuja kulinganisha ushauri wetu na mtazamo wako. Kwa upande wangu nakushauli piga chini kazi an take risk ili uwe na mda mzuri wa kupambana zaidi.
Kiukweli siwaelewagi watu wa Hivi ...yaaan unaacha biashara yako yenye faida kwa ajiri ya serkal kisa security 🤣🤣 ndomana ngumu sana kukuta muajiriwa tajiriHuo uoga wenu utawafikisha pabaya, unalipya sh 600k kwa mwezi ambao ni wasitani wa sh 20k kwa siku, na huna uhuru, utaacha je kazi yako kwa vijana inao kuingizia 50k kwa siku ambao ni 1.5m.........kama sio economic ignorance ni nini hiyo? Kisa eti nina bima ya afya foolish kwani unaugua kila siku?
Mkuu uko dm unakwendwa kumtumia voice notes??Sijui wewe unasimiaje ila hakikisha hao vijana watatu uliowaeka hapo mmoja wapo awe kiongoz wawote hi itakusaidia kupata mtu wa kudeal nae pale unapoona mambo hayaend sawa sikushaur uache kaz au ufunge biashara . Nashndwa kuandka sana unaeza ni dm nikuelekeze mana nina kauzoefu kdgo
wapo kuna mwalim namjua pia ana balaaila kuna watu waongo aisee
Hivi mtu awe anafanya biashara ya mil 100 halafu anafanya kazi ya laki 6 ualimu
ACHA UONGO
can I pm you?The world is not fair.....wakati wengine tuko benchi miaka Saba wewe unawaza kuacha kazi[emoji24][emoji24]
Ili umpe kazi? Au umongezee shida?can I pm you?
Kweli mpaji munguKuna wewe af Kuna Mimi 🤣🤣🤣ajira Sina biashara Sina na naishi