Mliofanikiwa kwenye Network Marketing tunawaomba mtoe Ushuhuda hapa

Hakuna aliyefaidika na hizi Biashara haramu. Kama QNET hawaweki hata bango kwenye ofisi zao yaani ni kimya kimya tu.
 
Kuna jamaa yangu alijiunga Forever na akanunua bidhaa zao, mpaka sasa hana wa kumuuzia zaidi ya yeye kuvitumia.
 
Salamu yao ya Goodmorning..hata kama ni sa mbili usiku
 
njoo oriflame madam kampuni ya urembo asilia unajiungakwa 10,000 elfu kumi unaamua mwenyewe kama umejiunga kwa biashara au matumiz binafsi kampuni yetu inashika nafasi ya 2 kwa ubora wa bidhaa dunian.its made from sweden,inspired by natural of beauty
The same approach....amka unawafaidisha Waswidish
 
Pole sana Mr Foreva Livingi😂😂
 
Hahahahahahh halafu ni wabishi vibaya mno!
 
Ni wabishi hao acha kabisa, alafu hayo mafanikio hata huyaoni kwao.
Wanakera sana....binafsi mdogo wangu ananiomba sana hela wakati aliniaminisha kuwa angekuwa milionea.
 
Danh sijui ni Mungu kaniambia leo nipite JF aisee kesho nikuwa napeleka 500k account moja nianze kupiga pesa Kwa akili yangu

Bora nikanunue kuku huu mzigo
😁😁😁😁Una bahati kinyama wewe ungeliwa hela yako bure!!
 
Mi kuna siku wale wa stem cells,nilikua zangu mcity mgahawan napata juice wadada wa4 mara hao kwenye meza yangu,

Wakaanza ongea pale maneno meeng,mapicha kibao,na product zao .eti in a month ntaingiza $20,000...

Skujib neno hata moja,..mwisho nkawatolea jib tuu kua

"Dada zangu,...wrong person"..taften wengne wale kule,mi nazijua vzur hzo ishu kuliko nyie...wale wadada ikabid wajikusanye waondoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…