Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteRipoti ya mkaguzi mkuu wa serikali inasemaje?
no yako?Tupeni siri mlio fanikiwa watu tunakufa kwa njaa uku mpaka 10000 inatushinda kupata [emoji24][emoji24][emoji24] twende wapi kuomba omba kwa mwanaume haiwezekano
akutumiano yako?
Achukue huu ushauri aufanyie kaziUkiona fundi mwashi jisogeze na uwapatie hata tope,wapiga debe jichanganye kufika jioni una hata 10,ukipata 10 kasalule mitumba ya bukubuku zungusha kitaa Kwa buku 2 mbili,omba kibarua Cha kuosha magari,pia salimia watu wakupe hata tuvikazkaz Lazima utatoka.Kutamka neno kudanga Kwa mwanaume ni laana.usirudie tena
Madam??Madam hebu acha kutia watu wasiwasi,
👉maana ukianza hivi ni Kama vile umekuja chota pesa kisa matatizo🙏🙏🤔🤔
SI kasema yeye ni wa kike??Madam??
Good son!!!SI kasema yeye ni wa kike??
SI jina tu hilo kajipa??, au haujasoma maelezo yake bhana🤔🤔Good son!!!
Sijaona aliposema yeye ni ke ..anywysSI jina tu hilo kajipa??, au haujasoma maelezo yake bhana🤔🤔
Samahani ndugu ingia inbox yako kama hutajali .Tupeni siri mliofanikiwa watu tunakufa kwa njaa huku mpaka 10,000 inatushinda kupata [emoji24][emoji24][emoji24] twende wapi kuomba omba kwa mwanaume haiwezekani.
Mrs Lissu ona hiii, 🤔🤔 au una lako Jambo madam😎😎. I mean no malice to nobodyTupeni siri mliofanikiwa watu tunakufa kwa njaa huku mpaka 10,000 inatushinda kupata 😭😭😭 twende wapi kuomba omba kwa mwanaume haiwezekani.
Tupeni siri mliofanikiwa watu tunakufa kwa njaa huku mpaka 10,000 inatushinda kupata 😭😭😭 twende wapi kuomba omba kwa mwanaume haiwezekani.
Kufa kupo pale pale hata usipotamani kikubwa jishughulishe there is no sweet without sweat
Nimeyasema hayo anajua sababu ya kumwambia hvyoNo one mentioned sweet, anataka basics tu na kakosa
Sikuiona mkuu..sorryMrs Lissu ona hiii, 🤔🤔 au una lako Jambo madam😎😎. I mean no malice to nobody