Mlioikopesha hela Chadema mna leseni za kukopesha ? Riba mnayopata mnalipia Kodi TRA?

Mlioikopesha hela Chadema mna leseni za kukopesha ? Riba mnayopata mnalipia Kodi TRA?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Chadema kina mikopo ambayo kilikopeshwa na watu mbalimbali.

Maswali yangu Kwao Ni kwanza je katiba ya chadema Ina kipengele kinaruhusu chama kukopa?

Pili je hao wakopeshaji Wana leseni za ukopeshaji ? Kama leseni hawana walikopeshajje? Sio watakatisha pesa hao?

Tatu Riba ambayo iko kwenye hiyo mikopo wakiipokea waliilipia Kodi?

Kama jibu Ni la kila mkopeshaji aliyekopesha chadema ahesabu kaumia na ajiandae

TRA na wataalamu wa money laundering wakitinga kwake asishangae huo ugeni
 
Naona Think Tank wa takukuru mnakuja kupima upepo muone kama itawezekana pole sana tutajibu wakati mwingine
 
Chadema kina mikopo ambayo kilikopeshwa na watu mbalimbali.

Maswali yangu Kwao Ni kwanza je katiba ya chadema Ina kipengele kinaruhusu chama kukopa?

Pili je hao wakopeshaji Wana leseni za ukopeshaji ? Kama leseni hawana walikopeshajje? Sio watakatisha pesa hao?

Tatu Riba ambayo iko kwenye hiyo mikopo wakiipokea waliilipia Kodi?

Kama jibu Ni la kila mkopeshaji aliyekopesha chadema ahesabu kaumia na ajiandae

TRA na wataalamu wa money laundering wakitinga kwake asishangae huo ugeni
 
Kuna malalamiko kuwa chadema imekataa kulipa madeni?

CCM mbna wasanii mnawakopa mpaka wengine mnawadhulumu?
 
Chadema kina mikopo ambayo kilikopeshwa na watu mbalimbali.

Maswali yangu Kwao Ni kwanza je katiba ya chadema Ina kipengele kinaruhusu chama kukopa?

Pili je hao wakopeshaji Wana leseni za ukopeshaji ? Kama leseni hawana walikopeshajje? Sio watakatisha pesa hao?

Tatu Riba ambayo iko kwenye hiyo mikopo wakiipokea waliilipia Kodi?

Kama jibu Ni la kila mkopeshaji aliyekopesha chadema ahesabu kaumia na ajiandae

TRA na wataalamu wa money laundering wakitinga kwake asishangae huo ugeni
Takukuru watatupatia majibu. Na kwa nini walimficha CAG kwamba kuna mikopo analipwa mwenyekiti wa Chadema?
 
Hakuna kitu kibaya kama kesi ya money laundering wakikukosa hapo wanakuja kwenye kodi .Chadema kama taasisi inaweza kukopa lakini ilikopa kwa kufata taratibu na kama walifata taratibu je hakuna mwingiliano wa kimaslahi kwa mwenyekiti kukopesha chama chake
 
Chadema kina mikopo ambayo kilikopeshwa na watu mbalimbali.

Maswali yangu Kwao Ni kwanza je katiba ya chadema Ina kipengele kinaruhusu chama kukopa?

Pili je hao wakopeshaji Wana leseni za ukopeshaji ? Kama leseni hawana walikopeshajje? Sio watakatisha pesa hao?

Tatu Riba ambayo iko kwenye hiyo mikopo wakiipokea waliilipia Kodi?

Kama jibu Ni la kila mkopeshaji aliyekopesha chadema ahesabu kaumia na ajiandae

TRA na wataalamu wa money laundering wakitinga kwake asishangae huo ugeni
Mtapiga Sana propaganda ili kumfurahisha mungu wenu,
 
Mafisadi makubwa ya nchi hii.
Mbona mahakama ya mafisadi haina wateja ,ni baada ya kubaini wateja wakubwa wanatoka kile chama cha ujamaa ikafa kifo cha mende.Ule wimbo wa mafisadi majizi tayashughulikia kweli kweli vipi mbona kimya this days.
 
Mbona mahakama ya mafisadi haina wateja ,ni baada ya kubaini wateja wakubwa wanatoka kile chama cha ujamaa ikafa kifo cha mende.Ule wimbo wa mafisadi majizi tayashughulikia kweli kweli vipi mbona kimya this days.
Mbowe na Genge lake!
 
Chadema kina mikopo ambayo kilikopeshwa na watu mbalimbali.

Maswali yangu Kwao Ni kwanza je katiba ya chadema Ina kipengele kinaruhusu chama kukopa?

Pili je hao wakopeshaji Wana leseni za ukopeshaji ? Kama leseni hawana walikopeshajje? Sio watakatisha pesa hao?

Tatu Riba ambayo iko kwenye hiyo mikopo wakiipokea waliilipia Kodi?

Kama jibu Ni la kila mkopeshaji aliyekopesha chadema ahesabu kaumia na ajiandae

TRA na wataalamu wa money laundering wakitinga kwake asishangae huo ugeni
Kabla ya kujibu vipi shingongo alipowakopesha t shirt,nk,wasanii bongo muvi walipowakopesha huduma zao walikuwa na leseni ya kukopesha?
 
Back
Top Bottom