mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,052
Mtu kama huyu akidakwa na covid, ni sekunde tu tunahesabuView attachment 1458557
Una maana gani mkuu?
Namanyere ni wapi? Vp shamrashamra jioni hiiNiko hapa Namanyere Naangalia Tv
Asee Mkuu hongereniCoco Beach tunatafuta wachumba kama maagizo ya mkuu wa mkoa
View attachment 1458565View attachment 1458566
Pwapwaaaahahah aisee hadi pilau nilitaka kulitapika sio kwa kucheka hukuWamikoani jikiteni kwenye kilimo tunawategemea
Nimeenda Mikadi pa ovyooo leo, Tanzanite na Malaika pia hapana watu, ila Kijijinpana watu sema vishua me sipendi maeneo ya vishua. Nikaona nisepe. , nikapata msosi Nakos Kigamboni maana sijapata kabisa mwaliko leo. Biriani la buku 7 na juice.Ulitaka uende Chadibwa au Mikadi? π
ππππ hii sikuiona hii. ππππ
Vitoto vya shule leo vimefunguliwa aisse. jela nje nje.Wale wa kimasihara hahahahah!
Mweeh ππ
Unazurura mno doh!Nimeenda Mikadi pa ovyooo leo, Tanzanite na Malaika pia hapana watu, ila Kijijinpana watu sema vishua me sipendi maeneo ya vishua. Nikaona nisepe. , nikapata msosi Nakos Kigamboni maana sijapata kabisa mwaliko leo. Biriani la buku 7 na juice.
View attachment 1458684
Nikaamsha popo kutoka uko hadi beach ya Kibo iko uko mbezi mbezi uko ata siijui ila mitaa ya Ramada na White Sand.
uko pamejaa sana, watu wana enjoy. Barakoa za kuhesabu ni nadra kuona barakoa. Ni free entrance.
Pia kuna mtoto alipotea ila kuna baharia akajua huyo dogo kapotea kwahiyo akawa anatembea nae nikaona nimpige picha incase likitokea la kutokea nitakua shahidi. Ila uyu maza aliempoteza mtoto mzembe sana.
View attachment 1458685
ππππUnazurura mno doh!
Pole yake huyo Mazaa
Shida nini mfuko mfupi au
Wapi hapa?