Mlioko Dar tunaomba Updates za Covid-19 festival

Mlioko Dar tunaomba Updates za Covid-19 festival

Coco Beach tunatafuta wachumba kama maagizo ya mkuu wa mkoa
20200524-170653.jpg
20200524-170717.jpg
 
Ulitaka uende Chadibwa au Mikadi? 😂
Nimeenda Mikadi pa ovyooo leo, Tanzanite na Malaika pia hapana watu, ila Kijijinpana watu sema vishua me sipendi maeneo ya vishua. Nikaona nisepe. , nikapata msosi Nakos Kigamboni maana sijapata kabisa mwaliko leo. Biriani la buku 7 na juice.

SAVE_20200524_201303.jpg


Nikaamsha popo kutoka uko hadi beach ya Kibo iko uko mbezi mbezi uko ata siijui ila mitaa ya Ramada na White Sand.

uko pamejaa sana, watu wana enjoy. Barakoa za kuhesabu ni nadra kuona barakoa. Ni free entrance.

Pia kuna mtoto alipotea ila kuna baharia akajua huyo dogo kapotea kwahiyo akawa anatembea nae nikaona nimpige picha incase likitokea la kutokea nitakua shahidi. Ila uyu maza aliempoteza mtoto mzembe sana.


 
Nimeenda Mikadi pa ovyooo leo, Tanzanite na Malaika pia hapana watu, ila Kijijinpana watu sema vishua me sipendi maeneo ya vishua. Nikaona nisepe. , nikapata msosi Nakos Kigamboni maana sijapata kabisa mwaliko leo. Biriani la buku 7 na juice.

View attachment 1458684

Nikaamsha popo kutoka uko hadi beach ya Kibo iko uko mbezi mbezi uko ata siijui ila mitaa ya Ramada na White Sand.

uko pamejaa sana, watu wana enjoy. Barakoa za kuhesabu ni nadra kuona barakoa. Ni free entrance.

Pia kuna mtoto alipotea ila kuna baharia akajua huyo dogo kapotea kwahiyo akawa anatembea nae nikaona nimpige picha incase likitokea la kutokea nitakua shahidi. Ila uyu maza aliempoteza mtoto mzembe sana.


View attachment 1458685
Unazurura mno doh!

Pole yake huyo Mazaa
 
Back
Top Bottom