nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,035
Ukifika nishtue nishafika kitambo sanaCoco Beach
Sent using kidole gumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifika nishtue nishafika kitambo sanaCoco Beach
Hawajambo huko Namtumbo?Mkuu sijakimbia dar, nina miaka karibu 26 sijawah fika dar so hua naiona kwenye tv tuuu.
Covid festival?! Kweli bashite anawajulia.Wakuu Salaam;
Watu wa Dar tupeni updates za Covid-19 festival inayofanyika leo.
Sisi wa mikoani hatujaruhusiwa kusherekea hiyo shughuli, hivyo tunakosa uhondo halisi kulinganisha na nyie wa Dar.
Festival ikoje huko hadi muda huu saa 5 asubuh?
Umepanga kwenda wapi kwa hafla hii fupi ya leo?
Miaka 26 hujawahi kufika dar.Mkuu sijakimbia dar, nina miaka karibu 26 sijawah fika dar so hua naiona kwenye tv tuuu.
Why..??Pole sana
Tuko tunapiga palizi mkuu,wa dar msisahau kuendelea kuwasuka dada zetu na kuwafanyia massage kwa ustadi.Wamikoani jikiteni kwenye kilimo tunawategemea
Aisee we jamaa una kashfa sana!Tuko tunapiga palizi mkuu,wa dar msisahau kuendelea kuwasuka dada zetu na kuwafanyia massage kwa ustadi.
Hahah hapana mkuu ni mgawanyo wa majukumu tu.Aisee we jamaa una kashfa sana!
Sent using kidole gumba
Niko hapa Morocco airtel kwanza nakunywa juice ya muwaUkifika nishtue nishafika kitambo sana
Sent using kidole gumba
😂😂😂 Wasusi wamesikia kiongoziTuko tunapiga palizi mkuu,wa dar msisahau kuendelea kuwasuka dada zetu na kuwafanyia massage kwa ustadi.
Naelekea eneo la tukio sasa
Hujafika maeneo huko utupe mbili 3 sis wa mikoaniMie nasafisha buti langu la jeje sasa hv
Sawa mkuu, tunazidi leta miwa huko kuanzia j4.Wamikoani jikiteni kwenye kilimo tunawategemea
Hawajambo Mkuu!Hawajambo huko Namtumbo?
Mbona hapa mambo ni mchanganyiko namna hii?
Nam mkuu, dar ni marafiki tu ninao..na sina mpango wa kuja huko. Mbn si ajabu.Miaka 26 hujawahi kufika dar.
Aiseee.
komesha korona
Nam mkuu, dar ni marafiki tu ninao..na sina mpango wa kuja huko. Mbn si ajabu.
Ni lazima kila mtanzania aje Dar kwenye historia ya maisha yake?