Mlioko Dar tunaomba Updates za Covid-19 festival

Mlioko Dar tunaomba Updates za Covid-19 festival

Vijana wasiokuwa na akili wale wa kijani wanakata mauno pale Lumumba wakiwa na babu kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😅😅😅😅 Mkuu nimecheka sana na siku yangu imeenda vizuri ikichangizwa na comments zingine.

Vp Mkuu wale wa ufipa hawajaja au kuwaona maeneo hayo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mkuu nimecheka sana na siku yangu imeenda vizuri ikichangizwa na comments zingine.

Vp Mkuu wale wa ufipa hawajaja au kuwaona maeneo hayo?
Vijana wa ufipa n Kijitonyama wameendelea kifuata taratibu za WHO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Salaam;

Watu wa Dar tupeni updates za Covid-19 festival inayofanyika leo.

Sisi wa mikoani hatujaruhusiwa kusherekea hiyo shughuli, hivyo tunakosa uhondo halisi kulinganisha na nyie wa Dar.

Festival ikoje huko hadi muda huu saa 5 asubuh?
Umepanga kwenda wapi kwa hafla hii fupi ya leo?
Wagonjwa wote wa Corona DsM wamepona
 
Wale wa kimasihara hahahahah!
images (12).jpeg

Una maana gani mkuu?
 
Back
Top Bottom