Mgosi Mbena JF-Expert Member Joined Nov 28, 2023 Posts 499 Reaction score 604 Jan 5, 2024 #21 Mjanja M1 said: Wengine wanauza Vipochi Manyoa Mkuu. KaziKweliKweli/JobTrueTrue Click to expand... nishaisikia hiyo
Mjanja M1 said: Wengine wanauza Vipochi Manyoa Mkuu. KaziKweliKweli/JobTrueTrue Click to expand... nishaisikia hiyo
Mgosi Mbena JF-Expert Member Joined Nov 28, 2023 Posts 499 Reaction score 604 Jan 5, 2024 #22 leoleo-tu said: Unalipia kitanda tu unakuwa unaishi kama uko hostel. Room unakuta ni wakenya, wanyarwanda au watu wengine kutoka Afrika ila sikushauri ukae na wapopo. Click to expand... wasije wakambaka
leoleo-tu said: Unalipia kitanda tu unakuwa unaishi kama uko hostel. Room unakuta ni wakenya, wanyarwanda au watu wengine kutoka Afrika ila sikushauri ukae na wapopo. Click to expand... wasije wakambaka
Trubarg JF-Expert Member Joined Jan 8, 2020 Posts 4,388 Reaction score 7,223 Jan 5, 2024 #23 Dubenga maisha ni very expensive.,niliuzuwa maji ya kunywa 250ml kwa 15k.
Mr Fresh Member Joined May 30, 2021 Posts 23 Reaction score 75 Mar 14, 2024 #24 Trubarg said: Dubenga maisha ni very expensive.,niliuzuwa maji ya kunywa 250ml kwa 15k. Click to expand... Inategemeana na location Uliyonunulia mkuu. Supermarkets nyingi za mtaani unapata chupa 6 za lita 1 na nusu kwa dirham 5 tu ambayo ni kama 3400 Tshs ya bongo.
Trubarg said: Dubenga maisha ni very expensive.,niliuzuwa maji ya kunywa 250ml kwa 15k. Click to expand... Inategemeana na location Uliyonunulia mkuu. Supermarkets nyingi za mtaani unapata chupa 6 za lita 1 na nusu kwa dirham 5 tu ambayo ni kama 3400 Tshs ya bongo.