Mlioko karibu na Emanuel Mbasha mwambieni aache upuuzi

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Huyu mtu inawezekana ni saa sita kasoro, akili zake za kipuuzi sana hakafu anajiita mlezi wa waimbaji wa injili? Labda mlezi wa madanguro.

Ndio maana Flora alijikata haiwezekana aligundua anaishi na mwezi mchanga ndani,
Yaani wewe Mbasha ndo wa kusapoti ujinga unaosambazwa mitandaoni tena kwa mtumishi wa Mungu Gwajima?

Eti na wewe unapost. Leo ndo nimekushusha vyeo vyote, hafu kwanza unajiita mlezi wa waimbaji wakati we mwenyewe unachokiimba hata hakieleweki ujibga ujinga tu.

Umeniudhi sana juheshimu bro usianike ujinga wako hadharani. Hicho cheo cha mlezi wa waimbaji huwezi kua nacho mshenzi kama wewe.

Nimemaliza
 
Ungemtafuta inbox huyo mbasha umwambie!
Yan unaandika as if sisi wote hapa tunajua huyo mbasha na gwajima wamefanya nn.......?!!!!..
 
Wapumbavu huaamini wakimshusha mtu wao wanapanda!!
 
Kwani ile video pendwa Mbasha ndiyo kairekodi?
 
J pili tunakuja kulijaza kanisa
 
Kwani Emanuel Mbasha ndo alirecord ile Video chafu?
 
mzee baba gwajima kapiga show [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1490]
na simu aliweka vizuri ili aonekane
hawa jamaa manabii wa dunia wataumbika hapa hapa mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…