Mlioko karibu na Emanuel Mbasha mwambieni aache upuuzi

Hahaaa mbona povu??jua chini ya jua hakuna mkamilifu hivyo mtumishi kapotoka usitetee ujinga hapa.
 
Yule si adui yake bwana anamuombea njaa tu.
 
Hii hali mpaka kuiweka sawa itamgharimu Gwajima
Mambosasa kesha mshikia bango. Halafu ana lile bifu na polisi la enzi zile za Kova. Mambosasa atajitia mambo ya ICT hayajui ili amfikishe mzee wa kuliamsha Kisutu na hatimae gesti ya serikali ya vigogo aka Segerea
 
Mbasha ana bifu na gwajima, kwani gwanima alimrambisha frola alolo, hiyo kitu mbasha bado ina muuma sana
 
Halafu hana hata chembe ya upendwa,ni agent wa kuzimu tu huyu mbasha
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
Mbasha anapata hasira kinyama kuona Yale mauno ndo alikua akiyachezea wife kwa gwaj boy
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ