Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wala HAKUNA cha kafara wala nini, ni upumbavu Tu wa TanzaniaNi kweli wananchi wengi Wana uhitaji mkubwa sana wa Watu wenye misimamo Kama ya Mwabukusi, isipokuwa tatizo ni kwamba hakuna njia ya kumpitisha mtu wa namna hiyo ili afike Ikulu. Hili ndio tatizo lililopo.
Kafara kubwa inahitajika ili kutengeneza njia ya kuweza kuwapitisha Watu wa namna hiyo. Je, upo tayari kwa hilo??