Mlioko karibu na wakili Mwabukusi asiogope "kutikisa m'buyu"

Wala HAKUNA cha kafara wala nini, ni upumbavu Tu wa Tanzania
 
Mtu mwenye jazba kama yule hafai.
 
na tutamlinda kwa njia ya maombi, maana watu wa hivyo wanakuwaga na maadui sana.
 
Mtu mwenye jazba kama yule hafai.
jazba zipi. kuonesha hisia zako kwenye jambo ovu ni nzuri sana. huonesha unamaanisha! mtu afichaye hisia zake huwa ni mnafiki.

say what u mean and mean what u say!
 
Kutokana na IQ yake kubwa, ujasiri, uzalendo, misimamo, elimu yake, asiogope kugombania nafasi hiyo kubwa kabisa nchini. anafaa. Wananchi tunamhitaji mtu wa hivyo.


naomba kuwasilisha
Yaani Tanzania hadi Samia na Magufuli wameweza kuwa marais, halafu utasikia watu wakiku diss kwa hili la Mwabukusi.
Nchini Tanzania ukishakuwa na akili timamu na unayejielewa watu wanakuona haufai kuwaongoza, wanakuwa wapo tayari kuongozwa na watu wenye akili za mang’ombe kuliko wanaojielewa.
 
ni kama wako chini ya laana flani
 
Unaweza kumrudisha Magufuli madarakani ?
sio Mimi. Mungu akitaka anaweza. Mungu ndiye afanyaye kwa makusudi yake, sio sisi. Watu wengi sana wameshawahi kurudishiwa uhai wao baada ya kufa. kina Thabitha (Dorcas), Lazaro, Eutiko, na wengineo

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
na utamu wa ugali bamia na dagaa rost jameni? siasa waachien wenyewe wewe mrad unapata ugali wako na watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…