Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wala HAKUNA cha kafara wala nini, ni upumbavu Tu wa TanzaniaNi kweli wananchi wengi Wana uhitaji mkubwa sana wa Watu wenye misimamo Kama ya Mwabukusi, isipokuwa tatizo ni kwamba hakuna njia ya kumpitisha mtu wa namna hiyo ili afike Ikulu. Hili ndio tatizo lililopo.
Kafara kubwa inahitajika ili kutengeneza njia ya kuweza kuwapitisha Watu wa namna hiyo. Je, upo tayari kwa hilo??
Hawafai kwa wezi wa Mali za UMMA, lakini sisi WAZALENDO Mwabukusi na Lissu wanatufaa sana.Mtu mwenye jazba kama yule hafai.
na tutamlinda kwa njia ya maombi, maana watu wa hivyo wanakuwaga na maadui sana.Anafaa zaidi kuwa Rais wa nchi.
Kwa nchi kama Tanzania tunamuhitaji mtu mwenye misimamo thabiti inayoeleweka na isiyoyumba kama alivyo Mwabukusi.
Tunataka Kiongozi ambaye akisema No, ni kweli kwamba anamaanisha Hapana, na akisema Yes, ni kweli kwamba aunamaanisha Ndiyo, wala siyo vinginevyo. Na mtu kama huyo si mwingine bali ni MWABUKUSI.
jazba zipi. kuonesha hisia zako kwenye jambo ovu ni nzuri sana. huonesha unamaanisha! mtu afichaye hisia zake huwa ni mnafiki.Mtu mwenye jazba kama yule hafai.
Yaani Tanzania hadi Samia na Magufuli wameweza kuwa marais, halafu utasikia watu wakiku diss kwa hili la Mwabukusi.Kutokana na IQ yake kubwa, ujasiri, uzalendo, misimamo, elimu yake, asiogope kugombania nafasi hiyo kubwa kabisa nchini. anafaa. Wananchi tunamhitaji mtu wa hivyo.
naomba kuwasilisha
ni kama wako chini ya laana flaniYaani Tanzania hadi Samia na Magufuli wameweza kuwa marais, halafu utasikia watu wakiku diss kwa hili la Mwabukusi.
Nchini Tanzania ukishakuwa na akili timamu na unayejielewa watu wanakuona haufai kuwaongoza, wanakuwa wapo tayari kuongozwa na watu wenye akili za mang’ombe kuliko wanaojielewa.
Wanaweza kumtoa roho si uliona kilichompata Lissu?Usimtafutie balaa mwenzio, viongozi wetu wa afrika linapokuja suala la madaraka wako tayari kwa lolote.
Upumbavu wa WATANGANYIKA sio WATANZANIA, kule Zanzibar wao wanajielewa NI suala muda tuWala HAKUNA cha kafara wala nini, ni upumbavu Tu wa Tanzania
mtesi alishadediWanaweza kumtoa roho si uliona kilichompata Lissu?
Upumbavu wa WATANGANYIKA sio WATANZANIA, kule Zanzibar wao wanajielewa NI suala muda tu
Unaweza kumrudisha Magufuli madarakani ?chini ya jua kila kitu kinawezekana.
nothing impossible under the sun!
sio Mimi. Mungu akitaka anaweza. Mungu ndiye afanyaye kwa makusudi yake, sio sisi. Watu wengi sana wameshawahi kurudishiwa uhai wao baada ya kufa. kina Thabitha (Dorcas), Lazaro, Eutiko, na wengineoUnaweza kumrudisha Magufuli madarakani ?
na utamu wa ugali bamia na dagaa rost jameni? siasa waachien wenyewe wewe mrad unapata ugali wako na watotoNi kweli wananchi wengi Wana uhitaji mkubwa sana wa Watu wenye misimamo Kama ya Mwabukusi, isipokuwa tatizo ni kwamba hakuna njia ya kumpitisha mtu wa namna hiyo ili afike Ikulu. Hili ndio tatizo lililopo.
Kafara kubwa inahitajika ili kutengeneza njia ya kuweza kuwapitisha Watu wa namna hiyo. Je, upo tayari kwa hilo??
fafanua hapa mkuu. ila kiukweli wa kuaminiwa ni Mungu pekee, na atadumu kuaminiwa.Usimwamini mtu....
yaani ukishapata ugali, baaasi!na utamu wa ugali bamia na dagaa rost jameni? siasa waachien wenyewe wewe mrad unapata ugali wako na watoto