msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,880
hawa wanaoongea hivi ndio huwa ukiona wanavyoishi hutoaminiPole sana.
Mbona mmeanza kuchokoana mapema sana?
I have been married for over 10 yrs now, kwangu miaka mitatu ya kwanza was like a honey moon period. Mahaba mazito mazito, hamna kugombana, amani na upendo vimetamalaki. Miaka mitatu iloyofuatia ilikua na rabsha za kutosha... ila we got through it.
Hakuna formula as such.
Kabla ya kuoana mliishi pamoja for sometime? Na mli date kwa muda gani?
Niache Eli [emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wahenga humuShunie umeolewa 11yrs? Uliolewa na 16yrs ama?
ingia mwaya wala usitishwe na matokeo ya ndoa za wengine, kila ndoa ni ya aina ya peke yake, hata experience ya ndoa ya wazazi wako haiwezi kuwa yako, mimi nipo kwenye ndoa 7 years now, na sijawahi kujutia hata tukiambiwa dunia inaanza upya mimi ntachagua yeye tu forever and everDuh, shida imeanzia wapi ?, kuna kitu mmekoseana na hamjasuluhishana?, hatari hii yaani mmefikia kukasirikiana hivo [emoji849] ,watu tunatamani kuingia huko ila kama ndiyo hivo mmh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kawaida, thamani ya mwanamke ni pale wazungu wanataka pa kutokea! Ndiyo maana kawaida akinamama hujitia nyodo kuvua kofuli ila baada ya kumaliza wazungu mwilini, sijawahi kusikia mwanamke anajifanya avalishwe. Kama wazungu wamebana mlangoni, hata kiwete au nungayembe huonekana mzuri kuliko hata sanchoka au Rihanna au miss universe. Wazungu hao, anaonekana kama zombieInawezekana kwangu K imekosa umathubutu. Maana wazungu wangu wakishapata corona basi namuona mhusika kama karaha tu
[emoji23][emoji23][emoji23]unazingua shunie, kinda kabisa wewe uwe na ndoa ya 11yrs. Unazingua[emoji23][emoji23][emoji23]Niache Eli [emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wahenga humu
HayaUongoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kweli bwana[emoji23][emoji23][emoji23]unazingua shunie, kinda kabisa wewe uwe na ndoa ya 11yrs. Unazingua[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kwako hata sijawahi ku-fake lakini[emoji39]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kibonge mwenzangu nimecheka Sana..nitakupmLikizo imeisha eenh kibonge mwenzangu miezi miwili mingi sana
Wow What a a super couple, nimewapenda bure yaani[emoji7] na ahsante kwa ushauri, kweli kila ndoa ina utofauti wake, huyu analalamika ndoa ya 2 yrs, wakati kuna wenye 7 yrs na still mnaenjoy, sihofii kuingia huko tenaa.ingia mwaya wala usitishwe na matokeo ya ndoa za wengine, kila ndoa ni ya aina ya peke yake, hata experience ya ndoa ya wazazi wako haiwezi kuwa yako, mimi nipo kwenye ndoa 7 years now, na sijawahi kujutia hata tukiambiwa dunia inaanza upya mimi ntachagua yeye tu forever and ever
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]! Mtumishi huwez fake[emoji39]mtumishi unapigo za kistreet[emoji39][emoji39]utumishi tupa kuleee
Usihofu mkuu,ndoa ni wewe utakavyoiwe ndivyo itakavyokuwa.Niko kwenye ndoa Mwaka wa 19 sasa,na enjoy ndoa yangu.Wow What a a super couple, nimewapenda bure yaani[emoji7] na ahsante kwa ushauri, kweli kila ndoa ina utofauti wake, huyu analalamika ndoa ya 2 yrs, wakati kuna wenye 7 yrs na still mnaenjoy, sihofii kuingia huko tenaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
19? Aisee hongereni sanaa, ahsante kwa ushauriUsihofu mkuu,ndoa ni wewe utakavyoiwe ndivyo itakavyokuwa.Niko kwenye ndoa Mwaka wa 19 sasa,na enjoy ndoa yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 19 hongera..[emoji848][emoji848]nitafika kweli huko!!Usihofu mkuu,ndoa ni wewe utakavyoiwe ndivyo itakavyokuwa.Niko kwenye ndoa Mwaka wa 19 sasa,na enjoy ndoa yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app