EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Hatari sana haya matukio, mnatuogopesha hata wenye nia za kuoa na kujenga familiaNatafuta chanzo cha tatizo
Ndoa hazifanani...wala usiogopeHatari sana haya matukio, mnatuogopesha hata wenye nia za kuoa na kujenga familia
Wanawazaga tu pete na magauni meupe...Tulizingatia kiapo Cha Ndoa!
Mtakuwa pamoja katika Milima na Mabonde!
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?
Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo
Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.
Akisafiri unatamani asirudi dah!
Mmewezaje ja
Kwani Baba yako alivumilia nini Kwa mama yako ?? Na mama yako Pia alivumilia nini Kwa Baba yako.....?? Usingeolewa mpaka Leo ungekuwa ushakufuru SASA hivi mara ooh mungu akuoni ooohh mara ooh nini sijui nini ....unadhani binadamu mmeisha NONGWA ....Ila subilia kidogo Tu yajayo yatakufurahishaJamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?
Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo
Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.
Akisafiri unatamani asirudi dah!
Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Kwa uandishi huo, mke wako ndio mvumilivu. Sio wewe.Nina. Miaka.16.kwenye.huo.mtifuano.sidhani.kama
Kunakitu. Tutasema. Uelewe. Kifupi. Kama. Huwezi. Kusubiri. Kesho. Ndoa
Yako
Utaumia. Wanandoa
punguzeni. kuchati
Na.wadada.au.wanaume
Umeongea ukweliMbona rahisi!
punguza mihemko
punguza kutaka mwenzako awe kama unavyotaka,
timiza majukumu yako kama mwanamke wa kiAfrika na Siyo wa Kizungu.
wachana na Mambo ya equality.. Utabaki unaumia tu.
Weka Imani yako kwa Mungu wako yeye ni zaidi ya Mwanaume unaempa muda wako mwingi.
At last punguza Matarajio.
he's a Human like any other human,Find a reason of why you loved him at first and why are you hating him now....
ukipata jirekebisheni uendane na beat.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa uandishi huo, mke wako ndio mvumilivu. Sio wewe.
Pongezi kwa shem.
Mmhhhgg!! Shida ipo!Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?
Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo
Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.
Akisafiri unatamani asirudi dah!
Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Upo wapiJamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?
Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo
Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.
Akisafiri unatamani asirudi dah!
Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Kashanyimwa na unyumba kabisa. Kumbe tatizo limeanzia huku. Kama hataki kumuona mumewe basi hata dharau na kiburi atakua nacho sasa huyo mwanaume atapata wapi nguvu za kupiga show hata kwa dkk 20.Kwani Baba yako alivumilia nini Kwa mama yako ?? Na mama yako Pia alivumilia nini Kwa Baba yako.....?? Usingeolewa mpaka Leo ungekuwa ushakufuru SASA hivi mara ooh mungu akuoni ooohh mara ooh nini sijui nini ....unadhani binadamu mmeisha NONGWA ....Ila subilia kidogo Tu yajayo yatakufurahisha
Kaburi limefukuliwaHii mmeitoa wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usitumie akili ya kutafuta pesa,ya shule kuishi kwenye ndoa,ukitaka kufanikiwa kwenye ndoa,jitoe akili,mwenzio ni binadamu sio maraika,wewe ndani ya moyo wako kimyakimya,usitegemee mema kutoka kwa mwenzio,asipokupikia poa,akipika poa,akijujibu vibaya poa,akikusifia poa,utaishi bila msongo,ukimuangalia mwenzio kumbuka mazuri aliyonayo au alivyokuwa nayoJamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?
Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo
Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.
Akisafiri unatamani asirudi dah!
Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Pole sanaJamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?
Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo
Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.
Akisafiri unatamani asirudi dah!
Mmewezaje jamani nipeni mbinu
NaamTatizo mnaingia kwenye ndoa mkiwa na malengo makubwa. Ndoa zinachangamoto lakini kuchukuliana Ndio msingi wa ndoa bora.
Usitumie akili ya kutafuta pesa,ya shule kuishi kwenye ndoa,ukitaka kufanikiwa kwenye ndoa,jitoe akili,mwenzio ni binadamu sio maraika,wewe ndani ya moyo wako kimyakimya,usitegemee mema kutoka kwa mwenzio,asipokupikia poa,akipika poa,akijujibu vibaya poa,akikusifia poa,utaishi bila msongo,ukimuangalia mwenzio kumbuka mazuri aliyonayo au alivyokuwa nayo