Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5

Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5

Tulizingatia kiapo Cha Ndoa!
Mtakuwa pamoja katika Milima na Mabonde!
 
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?

Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo

Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.

Akisafiri unatamani asirudi dah!

Mmewezaje ja
 
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?

Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo

Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.

Akisafiri unatamani asirudi dah!

Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Kwani Baba yako alivumilia nini Kwa mama yako ?? Na mama yako Pia alivumilia nini Kwa Baba yako.....?? Usingeolewa mpaka Leo ungekuwa ushakufuru SASA hivi mara ooh mungu akuoni ooohh mara ooh nini sijui nini ....unadhani binadamu mmeisha NONGWA ....Ila subilia kidogo Tu yajayo yatakufurahisha
 
Mbona rahisi!
punguza mihemko
punguza kutaka mwenzako awe kama unavyotaka,
timiza majukumu yako kama mwanamke wa kiAfrika na Siyo wa Kizungu.
wachana na Mambo ya equality.. Utabaki unaumia tu.
Weka Imani yako kwa Mungu wako yeye ni zaidi ya Mwanaume unaempa muda wako mwingi.
At last punguza Matarajio.
he's a Human like any other human,Find a reason of why you loved him at first and why are you hating him now....
ukipata jirekebisheni uendane na beat.
Umeongea ukweli
 
Umekosea sana uliposema dunia igeuke kwahiyo unataka sie wengine tugeuzwe na hii dunia kisa ndoa yako? Nyie ndio wale ambao mlikuwa mnaambiana nataka nikupe dunia nzima tubaki wawili nasemaje haipinduki na hatuanguki
 
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?

Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo

Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.

Akisafiri unatamani asirudi dah!

Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Mmhhhgg!! Shida ipo!
 
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?

Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo

Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.

Akisafiri unatamani asirudi dah!

Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Upo wapi
 
Kwani Baba yako alivumilia nini Kwa mama yako ?? Na mama yako Pia alivumilia nini Kwa Baba yako.....?? Usingeolewa mpaka Leo ungekuwa ushakufuru SASA hivi mara ooh mungu akuoni ooohh mara ooh nini sijui nini ....unadhani binadamu mmeisha NONGWA ....Ila subilia kidogo Tu yajayo yatakufurahisha
Kashanyimwa na unyumba kabisa. Kumbe tatizo limeanzia huku. Kama hataki kumuona mumewe basi hata dharau na kiburi atakua nacho sasa huyo mwanaume atapata wapi nguvu za kupiga show hata kwa dkk 20.
 
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?

Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo

Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.

Akisafiri unatamani asirudi dah!

Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Usitumie akili ya kutafuta pesa,ya shule kuishi kwenye ndoa,ukitaka kufanikiwa kwenye ndoa,jitoe akili,mwenzio ni binadamu sio maraika,wewe ndani ya moyo wako kimyakimya,usitegemee mema kutoka kwa mwenzio,asipokupikia poa,akipika poa,akijujibu vibaya poa,akikusifia poa,utaishi bila msongo,ukimuangalia mwenzio kumbuka mazuri aliyonayo au alivyokuwa nayo
 
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?

Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo

Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.

Akisafiri unatamani asirudi dah!

Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Pole sana
 
Usitumie akili ya kutafuta pesa,ya shule kuishi kwenye ndoa,ukitaka kufanikiwa kwenye ndoa,jitoe akili,mwenzio ni binadamu sio maraika,wewe ndani ya moyo wako kimyakimya,usitegemee mema kutoka kwa mwenzio,asipokupikia poa,akipika poa,akijujibu vibaya poa,akikusifia poa,utaishi bila msongo,ukimuangalia mwenzio kumbuka mazuri aliyonayo au alivyokuwa nayo
 
Back
Top Bottom