Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5

Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5

Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
ma dokta love mupo wapi kuna tatizo huku
 
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
Yani watu bilion ngapi sijui utugeuzie dunia kisa ndoa yako dah si sawa hujatutendea haki

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Mbona rahisi!
punguza mihemko
punguza kutaka mwenzako awe kama unavyotaka,
timiza majukumu yako kama mwanamke wa kiAfrika na Siyo wa Kizungu.
wachana na Mambo ya equality.. Utabaki unaumia tu.
Weka Imani yako kwa Mungu wako yeye ni zaidi ya Mwanaume unaempa muda wako mwingi.
At last punguza Matarajio.
he's a Human like any other human,Find a reason of why you loved him at first and why are you hating him now....
ukipata jirekebisheni uendane na beat.
Asipokuelewa na ujumbe huu ajiandae kuita mshenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
In a scale of 0 to 10 (10 the highest)
1. Wengi mnaingia kwenye ndoa mkiwa na imani kuwa mawifi si watu wazuri. TAYARI HUJAANZIA 0, MAY 4. Hivyo siku akilikoroga, unaanza kwenye 5. The same kwa wakwe

2. Wengi mnaingia kwenye ndoa huku mkiwa na UNREALISTIC expectations nyingi sana ambazo mwenzi asipozifikia, stress huanza

3. Wengi mnaishi maisha ya wengine, si yenu... Yaani mnatamani maisha ta wazazi wenu, kaka, dada au ya mtu mliyewahi ishi naye kwenye hatua mbalimbali za maisha. Ndiyo maana kulinganisha ni kwingi sana

4. Wengi mkiingia kwenye ndoa, UVUMILIVU UNAWASHINDA SANA... kudhani ungefunga ndoa na EX wako maisha yangekuwa matamu, kupo sana. Yaani wengine hutamka kila wanapopatwa na hasira..BORA NINGEOLEWA/NINGEMUOWA FULANI KULIKO KIMEO WEWE...!! Lugha za hivi ON daily Or weekly bases unatefemea nini..???

5. Imani za mfumo dume na beijing zimeuwa na zitaendelea kuuwa na kuwachosha wanandoa wengi sana... Wengine hudai mambo kisa kaona kwa fulani, kaambiwa na mwingine. Kuna watu huleta maisha ya ndoa nyingine kwenye yao bila kuhali mazingira yao yapoje
 
Ndoa sio kikundi cha saccos au vikoba kama kila mtu anaweza kuingia kwa kuwa anaweza kutoa michango, then asiye na ndoa kamwe hawezi kumshauri mwenye ndoa. Ni sawa na mtu anaemshauri mwengine kuhusu ufugaji wakati yeye mwenyewe hafugi!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
Uliolewa kwa matamanio fulani na si kwa upendo
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Ajabu ni kuwa, hata ungekuwa single bado ungepitia kipindi kigumu hadi uombe dunia igeuke chini juu. Changamoto za maisha(achilia mbali ndoa) huwa haziishi hata kidogo, tafuta jinsi ya kukabiliana nazo tu hamna namna.

Hata singles hawapo safe sana na changamoto za maisha so go ahead and find ways to solve your misery.
 
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu

Nakupenda
 
Huu mwaka wa 30 na nina wajukuu na ndoa ipp kama tulivyooana. Sijasikia mchepuko wala nini. Kama upo ili mradi akitoka kazini yupo nyumbani, basi mchepuko ni wakati wa kazi. Tuna wajukuu pia.
 
Back
Top Bottom