Mlioko nchini Mali mbona hamtupi Updates zenu za Mganga wenu Kuzuiliwa tena Airport kama kule Tunisia?

Mlioko nchini Mali mbona hamtupi Updates zenu za Mganga wenu Kuzuiliwa tena Airport kama kule Tunisia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Si huwa mnasema kuwa Simba SC tu pekee ndiyo Walozi ( Wachawi ) kwa Soka la Tanzania?

Na akirejea Tanzania mtatuambia hayo Manyoya ya Sungura na Bundi aliyabeba ya nini kwenda nayo nchini Mali.

Tukutane baada ya Mechi Usiku Ok?
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Si huwa mnasema kuwa Simba SC tu pekee ndiyo Walozi ( Wachawi ) kwa Soka la Tanzania?

Na akirejea Tanzania mtatuambia hayo Manyoya ya Sungura na Bundi aliyabeba ya nini kwenda nayo nchini Mali.

Tukutane baada ya Mechi Usiku Ok?
Popoma [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Si huwa mnasema kuwa Simba SC tu pekee ndiyo Walozi ( Wachawi ) kwa Soka la Tanzania?

Na akirejea Tanzania mtatuambia hayo Manyoya ya Sungura na Bundi aliyabeba ya nini kwenda nayo nchini Mali.

Tukutane baada ya Mechi Usiku Ok?
Bwana Genta aisee ulipotea sana pakatepeta sana humu, welcome back kuchangamsha jukwaa. Ulipokua haupo lile parody linalojofanyaga niwewe lilikuwa linajiachia sana sasa hivi naona nyuzi zake hazitembei
 
WAGANGA WANA MSAADA BILA QUALITY PLAYERS?

sawadogo, kanute....Simba
Bangala na Aucho... Yanga.

USIENDEKEZE SANA MA UCHAWI UCHAWI NI USHAMBA.
 
Bwana Genta aisee ulipotea sana pakatepeta sana humu, welcome back kuchangamsha jukwaa. Ulipokua haupo lile parody linalojofanyaga niwewe lilikuwa linajiachia sana sasa hivi naona nyuzi zake hazitembei
Asante Mkuu. Watajitokeza akina GENTAMYCINE wengi ila kuna GENTAMYCINE Mmoja tu ambaye ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" aliyejiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 Mwezi July.
 
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.


Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.


Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban

Karibuni PM/DM
 
Back
Top Bottom