Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Dawa ya deni kulipa acheni janja janja aisee😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipolipa, utailipa kwa taratibu zingineNilikopa airtel laki tatu na ushee kwenye timiza nmetuma na laini
Kazini wakiingiza muda wa maongezi mwanzo wa mwezi wanakata pesa yao. Inayobaki natumia ikiisha nakopa tena. Nina ka ulemavu ka kutonunua salio.Sasa apo unakuwa unawafaidisha hizo riba...bora usikope tu.
Na adhabu juuDawa ya deni kulipa acheni janja janja aisee[emoji28][emoji28]
Mm nlikopa 100 ya kuongezea kununua bando aisee ,riba cjui 1% per day ile Eh bhan nikaipotezea si Boss bhan kushtuka sms inagonga deni limefikia bukuuu😅😅😅😅Na adhabu juu
Sasa kazini wakiingiza usikope tumia hito tu....hutu tu mia mbili mbili twa riba mwisho wa mwezi unakuta ni 10, 000 umewapaKazini wakiingiza muda wa maongezi mwanzo wa mwezi wanakata pesa yao. Inayobaki natumia ikiisha nakopa tena. Nina ka ulemavu ka kutonunua salio.
Mbona umeelewa mama😆Sijaelewa.
Haani unadaiwa jero salio la kawaida.
Ukiweka 20,000 airtel money wanakata jero yao na inayobaki 19,500 inabadilishwa kuwa salio la kawaida?
Sasa kama amewema laki moja kwenye akaunti yake ya airtel na ana daiwa salio la 1,000 jamani si hasara hii?Mbona umeelewa mama😆
Airtel huwa inachekesha sana.
Huwa naona mtu mwenue mkopo wa salio akianza kupiga simu jambo la kwanza ni masimango...utasikia kwa sauti "AKAUNTI YAKO INADAIWA"
Huwa nacheeka sana poleni watumia airtel🤣🤣
Line una muda ganiNashangaa line yangu(airtel) siwezi hata kukopa salio, hii imekaaje? Kuna siku nilikuwa sina hela kwenye simu nikajaribu kukopa(sina utaratibu wa kununua vocha ya kukwangua), nimejaribu naona sina sifa wala vigezo..nikastaajabu sana.
Mi salio lilibaki walilitupa kwenye salio la kawaida.Wanakata helaa ya mkopo wanayo kudai. Hiyo nyingine ndiyo itakayo baki Airtel money.
Mlizoea janja janja, unakopa hela unakimbilia kwenye airtel money kukwepa deni. Sasa ukikopa deni linaingizwa kwenye namba ya simu, kila muamala unalipa deni.Salamu wadau.
Kifupi sio kulipa labda niseme utaratibu wao mpya sio mzuri.
Juzi kwa dharura nimekopa salio la kawaida nimpigie jamaa nikafanikiwa sasa kesho yake nimeenda kwa wakala niweke hela nashangaa ghafla napigwa na kitu kwamba salio lako ulilokopa limekatwa deni lako na hela iliyobaki imepelekwa kwenye salio lako la kawaida.!!
NIKABAKI kushangaa tu nimetoa macho kama nimebanwa kwenye bawabu za mlango wa mbao.Najiuliza huu utaratibu umeanza lini mbona hawasemi kwanini wasitujuze kama wavotumaga sms zao za matangazo?
Halafu kitu kingine mimi nimekopa salio la kawaida inakuwaje nyinyi mnakata kwenye airtel money? Kama umekutana na hii kitu hebu lete mrejesho kama nado jaribu na wewe kidogo halafu uone.
Mikopo ya makampuni ya aimu ina wizi mkubwa mnoSasa kama amewema laki moja kwenye akaunti yake ya airtel na ana daiwa salio la 1,000 jamani si hasara hii?
Hii haiko siriasi bana.
Watakata deni lao la 1,200. Kisha 800 itapelekwa kwenye muda wa maongezi. Ukitaka kukopa, kopa tena ili iwe 2000 kamili.
Mama natoka na pua ya mtuKwahyo kama ulikopa buku na ukaweka 20, 000 airtel money...wanakata buku na 19, 000 inawekwa salio la kawaida?
😂pua ya nani sasa? Ya wakala au unavunja simu?Mama natoka na pua ya mtu
Kwa hiyo hapo kinachowindwa ni kiasi kinachoelea njiani yaani kinachotoka kwenye airtelmoney na kinachoingia.Hela iliyopo airtela money haiguswi kabisa.
Kwenye airtelmoney yako una 100,000
Ulikopa muda wa maongezi wa 1,000 jumlisha riba inakuwa 1,200
Baadaye ukaamua kukwepa deni. Ukataka kununua kifurushi cha cha 2,000 kwa airtel money.
WATAKACHOKUFANYIA
IELEWEKE HIVI
Salio lako la airtel money haliwezi kubadilishwa kuwa muda wa maongezi bila wewe kuamua. Kinachobadilishwa kuwa muda wa maongezi badala ya kifurushi ni kile kiasi cha muda wa maongezi kilichobaki baada ya kukatwa deni juu kwa juu maana kinakuwa hakitoshi kununua kifurushi ulichokusudia.