Mliokosa updates za diamond..heaven on desert nimerudi

Umeajiriwa unakatwa pension kwajil ya akiba ya badae,nadhan umekosea sema napata posho toka kwa diamond.
 
ooooopx xry Yan mm daily uku nikionaga heaven on desert najuaga demu kwa jinsi unamfag diamond kumbe he xry again
 
ha ha ha watanganyika bana...mwenzio niko kazini na hujui ni kiasi gani nalipwa na pengine wewe kukipata kwa mwezi ni ndoto..so kaa kimya

Diamond anakulipa sh ngapi? na anakugonga kama anavomgongaga Halima Kimwana ?? mtoto firauni yule dah
 
[.....SHAROBAROOO LIKE DIAMOND]AAH MI NAPITA BANA MJUKUu WA BIBI
 
Kweli kijana maana ajira bongo ngumu kweli.!!
 
Diamond anakulipa sh ngapi? na anakugonga kama anavomgongaga Halima Kimwana ?? mtoto firauni yule dah

halima kimwana mwanmke wake,kuwadi wake siku akikosa mwanamke wa kumpa damondo halima anaingia mzigoni.
Ila anamsaidia halima kulipa kodi,chakula
 
we Penny?au sepe2?au kidoti?au uwoya?au wolper?au aunty?au mama salma k?
Maana hao mi ndo ntawaamini kwan hadi boxer yake wanaijua

embu nifafanulie hapo baab!! .........
 

what if kama ni secretary wake ambae anapokea chake cha kutosha mwisho wa mwezi?aache au aendelee na kazi?tuache kukurupuka na kutoa lugha zisizo na staha kwa mambo ambayo hatuna data za kutosha.
 

tatizo wengi humu wanaongozwa na ushabiki + chuki binafsi na sio professionalism,ata kama ni mimi ningekua huyo mdau ningekubali tu kuwa msemaji wa jamaa bora azingatie makubaliano yetu ktk mkataba na ayatimize kikamilifu,hayo mengine ni majungu na chuki binafsi dhidi ya diamond.
 
I think Diamond is doing fine currently but ajitahidi sana asiwe mtu wa kuongea ongea ovyo na vyombo vya habari
 

huyu mbona anapakatwa toka zaman huoni poz zake
 
Na Hamish ni nani? Manake Photographer na Blogger wa Diamond naemjua ni yule ....sasa sielewii
 
Jipe moyo kijana unafikiri kila mtu kaajiriwa nini? Mi nina counts hela daily sio wewe unasubiria kila trh 31.
Back in the days tokea nitoke kwenye ajira.
kumbe hata na wewe ulianza kwa kuajiriwa so muache kijana nae aajiriwe,what ua suppose to do nikumshauiri nae sikumoja ajiajiri awe kama wewe.
 
weka mambo wachana na haters,ila napenda kujua wale dancers wa diomomnd majina yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…