wakusepa
Member
- Jan 24, 2013
- 83
- 5
Habarini vijana wenzangu,poleni na mchakato mzima wa ujazaji hizi fomu za helsb kwakuwa zimekuwa na changamoto tofauti.
Sasa kwa wale ambao katika fomu wamejaza details zao na kisha ku thibitisha(confirm) taarifa ambazo kwa namna moja ama nyingine zimekosewa naomba kusema kuwa huwezi kufanya marekebisho yoyote,
angalizo,huwezi ku print fomu kama hujakamilisha kuijaza na pia kufanya confirmation.
Ushauri wangu hawa bodi mara nyingi ni watu wepesi kukusikiliza shida yako na kukuahid watalishughulikia tatizo lako lakin nikwambie utangoja milele,, wiki tatu zilizopita niliwapigia simu akapokea dada mmoja kumueleza tatizo hili akasema kitengo cha IT wanaliweka sawa subiri after a week utaweza ku edit,sasa zimepita siku na muda huo wa mwisho unakaribia ,cha msingi rafiki jifanye mwehu tu chukua collection fluids futa ulipokosea ingiza taarifa sahihi katika fomu ambatanisha taarifa muhimu subiri mpaka tar 30 june muda wa kusubiri kama itawekwa sehemu ya edit kama hawataweka sehemu ya kuedit tuma rafiki,baadae huwa wanarudisha majina wenyew kwa waliokosea kujaza na kuwapa muda wa ku submit taarifa zenu upya pale ofisi zao.
"HELSB KAZI NI KWAKO"
Sasa kwa wale ambao katika fomu wamejaza details zao na kisha ku thibitisha(confirm) taarifa ambazo kwa namna moja ama nyingine zimekosewa naomba kusema kuwa huwezi kufanya marekebisho yoyote,
angalizo,huwezi ku print fomu kama hujakamilisha kuijaza na pia kufanya confirmation.
Ushauri wangu hawa bodi mara nyingi ni watu wepesi kukusikiliza shida yako na kukuahid watalishughulikia tatizo lako lakin nikwambie utangoja milele,, wiki tatu zilizopita niliwapigia simu akapokea dada mmoja kumueleza tatizo hili akasema kitengo cha IT wanaliweka sawa subiri after a week utaweza ku edit,sasa zimepita siku na muda huo wa mwisho unakaribia ,cha msingi rafiki jifanye mwehu tu chukua collection fluids futa ulipokosea ingiza taarifa sahihi katika fomu ambatanisha taarifa muhimu subiri mpaka tar 30 june muda wa kusubiri kama itawekwa sehemu ya edit kama hawataweka sehemu ya kuedit tuma rafiki,baadae huwa wanarudisha majina wenyew kwa waliokosea kujaza na kuwapa muda wa ku submit taarifa zenu upya pale ofisi zao.
"HELSB KAZI NI KWAKO"