Haya mambo tumekuwa tukiyasikia lakini hatujui undani wake
1. Kundi la G5 liliundwa na kina nani na sasa liko wapi? Lengo lake lilikuwa ni nini?
2. Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alikamata nini uwanja wa ndege? Nini kilitokea?
3. Mayunga alipomfuata Nyerere ikulu kudai ongezeko la mshahara na maslahi kwa wanajeshi.
Karibuni mtujuze sisi watoto wa 1980/1990.
1. Kundi la G5 liliundwa na kina nani na sasa liko wapi? Lengo lake lilikuwa ni nini?
2. Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alikamata nini uwanja wa ndege? Nini kilitokea?
3. Mayunga alipomfuata Nyerere ikulu kudai ongezeko la mshahara na maslahi kwa wanajeshi.
Karibuni mtujuze sisi watoto wa 1980/1990.