Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Futa halina faida yoyoteKama ni hivi basi tuishauri Serikali ifute somo la Historia mashuleni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futa halina faida yoyoteKama ni hivi basi tuishauri Serikali ifute somo la Historia mashuleni.
Walikuwa wanadai uwepo wa serikali tatu, yaan serikali ya Tanganyika, JMT na SMZLengo lao lilikuwa nini hao G55?
sio kama unavyodhani! Wakati mrema anatumbuliwa mim nlikuwa darasa la nne na mpaka leo daftar ambalo nlidalajia gazet la heko lililokuwa na hyo habar nnalo! Na kuhusu kina g55 ni kundi lililodai tanganyika na ndio chimbuko la white paper ambayo ilikusanya maoni juu ya kurejesha mfumo wa vyama ving nchin! So mim sio mhuni wa kijiwen kama wwMajibu yako yanafanana na ukweli ila umesimuliwa kijiweni.
Alikisahau pale Karimjee siku hiyo alikuwa na hasira sana na walanguzi, ilikuwa ni kipindi azimio la Arusha lipo moto... Akaondoka kwa hasira kuelekea kwenye landrover yake kifimbo akakisahau, shida ilianzia hapo. Pia ilisemekana alikiacha makusudi ila za chinichini.
Issue ya Chavda ndio ilipelekea Mr.Mrema ajiuzuru,na Chavda scandal ililetwa Bungeni kwa mara ya kwanza na Mh.TMN Sanga(rip)huyu mbunge alikua akisimama kuongea, Bunge lote linatulia kumsikiliza SIO vihiyo wa Sasa waliopo bungeniKama unaongelea kilichomtoa Mrema kwenye Serikali na CCM kwa ujumla sio dhahabu bali ni issue ya Chavda. Goggle kwa taarifa zaidi.
Alikisahau pale Karimjee siku hiyo alikuwa na hasira sana na walanguzi, ilikuwa ni kipindi azimio la Arusha lipo moto... Akaondoka kwa hasira kuelekea kwenye landrover yake kifimbo akakisahau, shida ilianzia hapo. Pia ilisemekana alikiacha makusudi ila za chinichini.
Men were really men!Walikuwa wanadai uwepo wa serikali tatu, yaan serikali ya Tanganyika, JMT na SMZ
Ahsante sana mkuu kwa mchango wako. Kwahiyo Mrema hakufukuzwa uwaziri?