Ahsante! Ngoja niutafutekasome uzi wa utata wa kifo cha dk omary ally juma utapata majibu yako
Wachambuzi wetu (round tablers) kwenye hii hoja niHaya mambo tumekuwa tukiyasikia lakini hatujui undani wake
1. Kundi la G5 liliundwa na kina nani na sasa liko wapi? Lengo lake lilikuwa ni nini?
2. Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alikamata nini uwanja wa ndege? Nini kilitokea?
3. Mayunga alipomfuata Nyerere ikulu kudai ongezeko la mshahara na maslahi kwa wanajeshi.
Karibuni mtujuze sisi watoto wa 1980/1990.
Ngoja tuwasubiriWachambuzi wetu (round tablers) kwenye hii hoja ni
Mtangazaji na mwenyekiti atakuwa johnthebaptist
Mshana jr muondoe kwenye hiyo list, ana chuki za kikabila kama interahamwe!Wachambuzi wetu (round tablers) kwenye hii hoja ni
Mtangazaji na mwenyekiti atakuwa johnthebaptist
Dhahabu hiyo ilikuwa inatoroshwa kwa ushirikiano wa Bi Mdogo wa Mheshimiwa.Mi ni 80s 1. Ni G55 ilikuwa ni wabunge wa bunge la jmt wakiongozwa na njelu kasaka! Sijui wapo wangap wako hai au wap 2. Mrema alikamata dhahab eapot akatimuliwa kaza na alhaj mwiny! Mengine cjui
Majibu yako yanafanana na ukweli ila umesimuliwa kijiweni.Mi ni 80s 1. Ni G55 ilikuwa ni wabunge wa bunge la jmt wakiongozwa na njelu kasaka! Sijui wapo wangap wako hai au wap 2. Mrema alikamata dhahab eapot akatimuliwa kaza na alhaj mwiny! Mengine cjui
Moderator johnthebaptist observe thisMshana jr muondoe kwenye hiyo list, ana chuki za kikabila kama interahamwe!
Ingekuwa ni issue ya kujadili sukuma gang angestahili kuwemo.
Kuhusu G55, hili kundi liliundwa na wabunge 55 kudai serikali ya Tanganyika wakati utawala wa mwinyi. Baada ya mwalimu Nyerere kung'atuka urais mwaka 1985 mwinyi aliingia madarakani.Haya mambo tumekuwa tukiyasikia lakini hatujui undani wake
1. Kundi la G5 liliundwa na kina nani na sasa liko wapi? Lengo lake lilikuwa ni nini?
2. Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alikamata nini uwanja wa ndege? Nini kilitokea?
3. Mayunga alipomfuata Nyerere ikulu kudai ongezeko la mshahara na maslahi kwa wanajeshi.
Karibuni mtujuze sisi watoto wa 1980/1990.
Mmmh!!Nilijua unataka nikupe ile ya Mwalimu kusahau kifimbo chake hadi Greda ikashindwa kukinyanyua.
Kama unaongelea kilichomtoa Mrema kwenye Serikali na CCM kwa ujumla sio dhahabu bali ni issue ya Chavda. Goggle kwa taarifa zaidi.Mi ni 80s 1. Ni G55 ilikuwa ni wabunge wa bunge la jmt wakiongozwa na njelu kasaka! Sijui wapo wangap wako hai au wap 2. Mrema alikamata dhahab eapot akatimuliwa kaza na alhaj mwiny! Mengine cjui
Lengo lao lilikuwa nini hao G55?Mi ni 80s 1. Ni G55 ilikuwa ni wabunge wa bunge la jmt wakiongozwa na njelu kasaka! Sijui wapo wangap wako hai au wap 2. Mrema alikamata dhahab eapot akatimuliwa kaza na alhaj mwiny! Mengine cjui
Unataka kubisha? Vijana wa sasa na simu zenu za kupangusa mengi ya kale hamtoamini. Isingekuwa picha tungewaambia Mwl alikuwa anazurura na baiskeli akiwa raisi mngereply Mmmmh!! tena.Mmmh!!
Serikali ya Tanganyika baada ya Zanzibar kujiunga OICLengo lao lilikuwa nini hao G55?
Haitakusaidia mkuuHaya mambo tumekuwa tukiyasikia lakini hatujui undani wake
1. Kundi la G5 liliundwa na kina nani na sasa liko wapi? Lengo lake lilikuwa ni nini?
2. Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani alikamata nini uwanja wa ndege? Nini kilitokea?
3. Mayunga alipomfuata Nyerere ikulu kudai ongezeko la mshahara na maslahi kwa wanajeshi.
Karibuni mtujuze sisi watoto wa 1980/1990.
Jamaa wametafuna nchi snDhahabu hiyo ilikuwa inatoroshwa kwa ushirikiano wa Bi Mdogo wa Mheshimiwa.