Mliokuwa 'mkikodolea' Kiumakini 'Kideoni' hilo 'Kutano' lao 'Idodomya' haya Matukio yafuatayo yamemaanisha nini?

Mliokuwa 'mkikodolea' Kiumakini 'Kideoni' hilo 'Kutano' lao 'Idodomya' haya Matukio yafuatayo yamemaanisha nini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Muda wote aliyestaafu Umakamu Uenyekiti Lumumba alipokuwa akiongea Mstaafu mkubwa Kikatiba alikuwa Kainama na muda mwingine akichati kabisa.

2. Kila mara Mstaafu mkubwa Kikatiba alipokuwa akitizamana na mwenye Uenyekiti wake wa Lumumba sasa Wote walikuwa wakioneana Aibu na Wanabaiolojia.

3. Mstaafu mkubwa Kikatiba muda wote Makamu Mwenyekiti mpya wa Lumumba alipokuwa akizungumza alikuwa Makini mno Kumsikiliza, Kutikisa Kichwa chake chenye Mvi nyingi sasa na hata Kutabasamu pia.

4. Pale Baba wa Mgawo wa Umeme Tanzania alipokuwa akibwabwaja kama Kawaida yake na Kuisifia Yanga SC na kudai Simba SC isipojipanga itautema Ubingwa wake Mstaafu mkubwa Kikatiba alishangalia mpaka hata kutaka Kukaa juu ya Meza huku akitetema kama Mshambuliaji Hatari wa Yanga SC Fiston Kalala GENTAMYCINE Mayele.

5. Wahudhuriaji Wote ulikuwa ukitizama Combination ya Kushangilia Kwao kila mara na Nyuso zao ulikuwa unaona kabisa kuwa hakuna Chemistry ila ni kama tu Shangilia ya Kinafiki na Kuondoa lawama baadae usije ukanyimwa bure Posho kisha urejee Kwako Kyaka Nkunde na Ikupilipa Nkoba kwa Miguu au Lifti ya Lori la Mizito ma hata Baiskeli ya Kubeba Mkaa.

6. Nyuso za wale wana Lumumba Wote Wapigaji na wenye Histoia za Ufisadi, Dhuluma na Umafia muda wote zilikuwa na Furaha isiyo na Kifani kwa Lumumba ya Kuanzia tarehe 19 Machi, 2021 tofauti na walivyokuwa katika ile Lumumba iliyoishia ghafla tarehe 17 Machi, 2021

7. 85% ya Camera za Television ( Media ) zote zilizoalikwa na zile zilizojipendekeza zenyewe kutokana na Uroho ( Umelo ) wao wa Chakula na Vinywaji kwa Wageni zilikuwa zikimmulika ( zikimuonyesha ) zaidi mwenye Lumumba yake Kikatiba kwa sasa na Yule Mstaafu mkubwa Kikatiba ambaye nae huko nyuma alishawahi kuwa na Lumumba yake.

Ninangojea mirejesho yenu tu Wakuu!!!
 
"Kidole mama kidolee" goma la TWANGA PEPETA wanasema 'binadamu ata ukohoe,watakuja kukunyooshea kidole kwanini umekohoa" wanaendelea kusema kama kidole kingekua risasi basi tungekufa wengi sana kwasababu tukipeana mgongo tunanyoosheana kidole. ....

DJ mlete popoma taratibu na mkwaju wa "Kidole"
 
1. Muda wote aliyestaafu Umakamu Uenyekiti Lumumba alipokuwa akiongea Mstaafu mkubwa Kikatiba alikuwa Kainama na muda mwingine akichati kabisa.

2. Kila mara Mstaafu mkubwa Kikatiba alipokuwa akitizamana na mwenye Uenyekiti wake wa Lumumba sasa Wote walikuwa wakioneana Aibu na Wanabaiolojia.

3. Mstaafu mkubwa Kikatiba muda wote Makamu Mwenyekiti mpya wa Lumumba alipokuwa akizungumza alikuwa Makini mno Kumsikiliza, Kutikisa Kichwa chake chenye Mvi nyingi sasa na hata Kutabasamu pia.

4. Pale Baba wa Mgawo wa Umeme Tanzania alipokuwa akibwabwaja kama Kawaida yake na Kuisifia Yanga SC na kudai Simba SC isipojipanga itautema Ubingwa wake Mstaafu mkubwa Kikatiba alishangalia mpaka hata kutaka Kukaa juu ya Meza huku akitetema kama Mshambuliaji Hatari wa Yanga SC Fiston Kalala GENTAMYCINE Mayele.

5. Wahudhuriaji Wote ulikuwa ukitizama Combination ya Kushangilia Kwao kila mara na Nyuso zao ulikuwa unaona kabisa kuwa hakuna Chemistry ila ni kama tu Shangilia ya Kinafiki na Kuondoa lawama baadae usije ukanyimwa bure Posho kisha urejee Kwako Kyaka Nkunde na Ikupilipa Nkoba kwa Miguu au Lifti ya Lori la Mizito ma hata Baiskeli ya Kubeba Mkaa.

6. Nyuso za wale wana Lumumba Wote Wapigaji na wenye Histoia za Ufisadi, Dhuluma na Umafia muda wote zilikuwa na Furaha isiyo na Kifani kwa Lumumba ya Kuanzia tarehe 19 Machi, 2021 tofauti na walivyokuwa katika ile Lumumba iliyoishia ghafla tarehe 17 Machi, 2021

7. 85% ya Camera za Television ( Media ) zote zilizoalikwa na zile zilizojipendekeza zenyewe kutokana na Uroho ( Umelo ) wao wa Chakula na Vinywaji kwa Wageni zilikuwa zikimmulika ( zikimuonyesha ) zaidi mwenye Lumumba yake Kikatiba kwa sasa na Yule Mstaafu mkubwa Kikatiba ambaye nae huko nyuma alishawahi kuwa na Lumumba yake.

Ninangojea mirejesho yenu tu Wakuu!!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].......ila we Mkurya mshenzi sana, eti baba wa mgao wa umeme nchini
 
1. Muda wote aliyestaafu Umakamu Uenyekiti Lumumba alipokuwa akiongea Mstaafu mkubwa Kikatiba alikuwa Kainama na muda mwingine akichati kabisa.

2. Kila mara Mstaafu mkubwa Kikatiba alipokuwa akitizamana na mwenye Uenyekiti wake wa Lumumba sasa Wote walikuwa wakioneana Aibu na Wanabaiolojia.

3. Mstaafu mkubwa Kikatiba muda wote Makamu Mwenyekiti mpya wa Lumumba alipokuwa akizungumza alikuwa Makini mno Kumsikiliza, Kutikisa Kichwa chake chenye Mvi nyingi sasa na hata Kutabasamu pia.

4. Pale Baba wa Mgawo wa Umeme Tanzania alipokuwa akibwabwaja kama Kawaida yake na Kuisifia Yanga SC na kudai Simba SC isipojipanga itautema Ubingwa wake Mstaafu mkubwa Kikatiba alishangalia mpaka hata kutaka Kukaa juu ya Meza huku akitetema kama Mshambuliaji Hatari wa Yanga SC Fiston Kalala GENTAMYCINE Mayele.

5. Wahudhuriaji Wote ulikuwa ukitizama Combination ya Kushangilia Kwao kila mara na Nyuso zao ulikuwa unaona kabisa kuwa hakuna Chemistry ila ni kama tu Shangilia ya Kinafiki na Kuondoa lawama baadae usije ukanyimwa bure Posho kisha urejee Kwako Kyaka Nkunde na Ikupilipa Nkoba kwa Miguu au Lifti ya Lori la Mizito ma hata Baiskeli ya Kubeba Mkaa.

6. Nyuso za wale wana Lumumba Wote Wapigaji na wenye Histoia za Ufisadi, Dhuluma na Umafia muda wote zilikuwa na Furaha isiyo na Kifani kwa Lumumba ya Kuanzia tarehe 19 Machi, 2021 tofauti na walivyokuwa katika ile Lumumba iliyoishia ghafla tarehe 17 Machi, 2021

7. 85% ya Camera za Television ( Media ) zote zilizoalikwa na zile zilizojipendekeza zenyewe kutokana na Uroho ( Umelo ) wao wa Chakula na Vinywaji kwa Wageni zilikuwa zikimmulika ( zikimuonyesha ) zaidi mwenye Lumumba yake Kikatiba kwa sasa na Yule Mstaafu mkubwa Kikatiba ambaye nae huko nyuma alishawahi kuwa na Lumumba yake.

Ninangojea mirejesho yenu tu Wakuu!!!
Nyuzi za GENTAMYCINE hazibuguziwi ni kama musiba kwa baba na makonda kwa mama.
 
"Kidole mama kidolee" goma la FM academia wazee wa ngwasuma wanasema 'binadamu ata ukohoe,watakuja kukunyooshea kidole kwanini umekohoa" wanaendelea kusema kama kidole kingekua risasi basi tungekufa wengi sana kwasababu tukipeana mgongo tunanyoosheana kidole. ....

DJ mlete popoma taratibu na mkwaju wa "Kidole"
Risasi kidole Ya Chaz Baba na Twanga Pepeta
 
Pale Baba wa Mgawo wa Umeme Tanzania alipokuwa akibwabwaja kama Kawaida yake na Kuisifia Yanga SC na kudai Simba SC isipojipanga itautema Ubingwa wake Mstaafu mkubwa Kikatiba alishangalia mpaka hata kutaka Kukaa juu ya Meza huku akitetema kama Mshambuliaji Hatari wa Yanga SC Fiston Kalala GENTAMYCINE Mayele.

Aliguswa
 
Back
Top Bottom