hata yesu wanasema alizaa na maria magdalena sasa cha ajabu nini mtume gwajima kumuweka mimba frola.hahahaha
Tatizo mnadhani mtu kuimba nyimbo za dini au kumiliki kanisa basi mnadhani ni mtakatifu, hivyo ni vichaka vya manyang'au, dini ni dini na mtu ni mtu.
nitaenda kesho kanisani kwa gwajima kushuhudia kama kweli hayupo??ni kweli mwanamke imara ana mimba ya mtume na nabii??
Hasa familia nyingi za Kichaga............Yes kwa mujibu wa sheria ya "the right to privacy!" ni kweli public figures everything ni public, kwa wale public figures ambao wako paid by public money!, "taxpayers". Hawa public figures ambao they make their own money, bado wanalindwa na "the right to privacy" kinachofanywa na magazeti ya udaku, mimi nayaita ya vichochoroni, ni ufukunyuku wa udaku tuu!.
Kitu kikubwa ninachokilinda ni kitu kinachoitwa "the marriage institution", taasisi ya ndoa, watu ambao wako kwenye ndoa, mke akipata ujauzito, ujauzito huo ni wa mumewe!, unless kama kuna mtu alimshikia mguu huyo jamaa wakati wa kuipachika!.
Kuifuatilia mimba ya mke wa mtu na kudai ni ya fulani, huku ni kuingilia over and above mambo binafsi ya mtu!.
Kwa kawaida mtu mwenye kujua kwa hakika mimba ni ya nani ni mwanamke!, zikifanywa compulsory DNA kwenye kila familia!, amini usiamini, kuna familia zitaparaganyika!. Naijua familia moja ina watoto 3, baada ya kukaa bila watoto kwa miaka kadhaa na mwanamke ndie akinyooshewa kidole kuwa ni tasa! na manyanyaso makubwa!, mwanamke kajipima yuko ok!, kilichofuatia, "alijaribisha nje" ikajipa!, alimfyatulia mumewe watoto watatu, wote vidume!, na wote walihesabika ni watoto wa mumewe! na ndoa ilidumu, manyanyaso yalikoma na waliishi raha mustarehe mpaka ...
Nilichoshauri ni watu humu kuacha uzushi na kupunguza majungu!.
Pasco
NENda mwenzangu kama naul huna ntakurushia tigo pesa, maana nasikia yupo ulaya sasa iv
Huyu ni mumewe anatumia ID feki kumchafua zaidi mkewe,ila kimsingi Flora hana mtetezi ila wenye akili tunajua kinachoendelea na Lengo la mumewe kumchafua Gwajima kwa makusudi bila ushahidi ni kuwatoa watu kwenye mstari wa kujadili ubakaji,my take katika mfumo dume siku zote mwanamke hana haki ila iko siku ukweli utajulikana,yeye Flora issue yake ya Ubakaji imepelekwa mahakamani kwanini mumewe naye asimpeleke Gwajima mahakamani haki ikatendeke huko?Anavyofanya siyo vizuri.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Yes kwa mujibu wa sheria ya "the right to privacy!" ni kweli public figures everything ni public, kwa wale public figures ambao wako paid by public money!, "taxpayers". Hawa public figures ambao they make their own money, bado wanalindwa na "the right to privacy" kinachofanywa na magazeti ya udaku, mimi nayaita ya vichochoroni, ni ufukunyuku wa udaku tuu!.
Kitu kikubwa ninachokilinda ni kitu kinachoitwa "the marriage institution", taasisi ya ndoa, watu ambao wako kwenye ndoa, mke akipata ujauzito, ujauzito huo ni wa mumewe!, unless kama kuna mtu alimshikia mguu huyo jamaa wakati wa kuipachika!.
Kuifuatilia mimba ya mke wa mtu na kudai ni ya fulani, huku ni kuingilia over and above mambo binafsi ya mtu!.
Kwa kawaida mtu mwenye kujua kwa hakika mimba ni ya nani ni mwanamke!, zikifanywa compulsory DNA kwenye kila familia!, amini usiamini, kuna familia zitaparaganyika!. Naijua familia moja ina watoto 3, baada ya kukaa bila watoto kwa miaka kadhaa na mwanamke ndie akinyooshewa kidole kuwa ni tasa! na manyanyaso makubwa!, mwanamke kajipima yuko ok!, kilichofuatia, "alijaribisha nje" ikajipa!, alimfyatulia mumewe watoto watatu, wote vidume!, na wote walihesabika ni watoto wa mumewe! na ndoa ilidumu, manyanyaso yalikoma na waliishi raha mustarehe mpaka ...
Nilichoshauri ni watu humu kuacha uzushi na kupunguza majungu!.
Pasco
Mbona Gwajima yupo Kanisani Kwake hata kesho atafundisha maana leo amefundisha ,au gwajima wa JF ?
Jamani hamjatoka kanisani tu mtuambie huyo mtume na nabii yupo au kweli kasafiri, ya flora nitayafuatilia hapa home kwa mjomba wake
jamani kwani frola ana mimba? Mnaojua mtujuze.
Yes kwa mujibu wa sheria ya "the right to privacy!" ni kweli public figures everything ni public, kwa wale public figures ambao wako paid by public money!, "taxpayers". Hawa public figures ambao they make their own money, bado wanalindwa na "the right to privacy" kinachofanywa na magazeti ya udaku, mimi nayaita ya vichochoroni, ni ufukunyuku wa udaku tuu!.
Kitu kikubwa ninachokilinda ni kitu kinachoitwa "the marriage institution", taasisi ya ndoa, watu ambao wako kwenye ndoa, mke akipata ujauzito, ujauzito huo ni wa mumewe!, unless kama kuna mtu alimshikia mguu huyo jamaa wakati wa kuipachika!.
Kuifuatilia mimba ya mke wa mtu na kudai ni ya fulani, huku ni kuingilia over and above mambo binafsi ya mtu!.
Kwa kawaida mtu mwenye kujua kwa hakika mimba ni ya nani ni mwanamke!, zikifanywa compulsory DNA kwenye kila familia!, amini usiamini, kuna familia zitaparaganyika!. Naijua familia moja ina watoto 3, baada ya kukaa bila watoto kwa miaka kadhaa na mwanamke ndie akinyooshewa kidole kuwa ni tasa! na manyanyaso makubwa!, mwanamke kajipima yuko ok!, kilichofuatia, "alijaribisha nje" ikajipa!, alimfyatulia mumewe watoto watatu, wote vidume!, na wote walihesabika ni watoto wa mumewe! na ndoa ilidumu, manyanyaso yalikoma na waliishi raha mustarehe mpaka ...
Nilichoshauri ni watu humu kuacha uzushi na kupunguza majungu!.
Pasco
Hata Mudy wanasema alibaka kabinti ka miaka 14, sasa cha ajabu hapo nini?