Mliokuwa mnapiga kelele Azam Kupata kandarasi ya Miaka 10, Vodacom wamejitoa, fadhilini Ligi japo mwaka Mmoja

Mliokuwa mnapiga kelele Azam Kupata kandarasi ya Miaka 10, Vodacom wamejitoa, fadhilini Ligi japo mwaka Mmoja

Opportunity Cost

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2020
Posts
9,034
Reaction score
6,913
Wale mliokuwa mnapopoma kwa domo kaya kuhusu mkataba wa Azam na TFF kwamba ni muda mrefu na pesa kiduchu tunaomba sasa mtumie fursa ya kufadhili Ligi kuu Bara japo kwa mwaka mmja ili tuone matunda ya midomo yenu.

Hii nchi ina majitu yana midomo sana lakini vitendo ni zero, fanyeni ku justify hoja zenu maana na nyie mtatangaza na timu zitavaa jezi za matangazo na mtapata kiingilio ili mpige pesa.
 
Vodacom wameogopa aibu na fedheha. Embu fikiria kama Azam ambao sio wadhamini wakuu wameweka mpunga mrefu vile je hao Vodacom wangeweza kuweka mpunga mrefu kiasi gani wa kuuzidi Azam ili kuonekana kuwa wao ndio wadhamini wakuu?
Kuna jamaa yangu wa Vodacom anasema miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakipata hasara, kwahivo sishangai walivyojitoa
 
Tofauti ya ufadhili wa Azam na Vodacom, Azam anapata faida moja kwa moja kupitia kuuza ving'amuzi na kulipiwa ving'amuzi lakini voda haingizi faida faida zaidi ya kujitangaza hivyo huwezi kulinganisha faida wanazopata kwani Azam anafadhili huku akiingiza pesa wakati voda anafadhili lakini pesa yake hairudi kwa wakati muafaka.
 
Vodacom wameogopa aibu na fedheha. Embu fikiria kama Azam ambao sio wadhamini wakuu wameweka mpunga mrefu vile je hao Vodacom wangeweza kuweka mpunga mrefu kiasi gani wa kuuzidi Azam ili kuonekana kuwa wao ndio wadhamini wakuu?
Taja ligi moja ambayo mdhamini mkuu analipa zaidi ya mwenye haki za tv?
 
Tofauti ya ufadhili wa Azam na Vodacom, Azam anapata faida moja kwa moja kupitia kuuza ving'amuzi na kulipiwa ving'amuzi lakini voda haingizi faida faida zaidi ya kujitangaza hivyo huwezi kulinganisha faida wanazopata kwani Azam anafadhili huku akiingiza pesa wakati voda anafadhili lakini pesa yake hairudi kwa wakati mwafaka.
DUUUH! SOMA KWA MAKINI ULICHOANDIKA MKUU, UMESOMA MARKETING MKUU? TAFUTA KITU KINACHOITA AIDA MODEL, AZAM KILA ANAPORUSHA GAME LAZIMA NENO VODACOM LIONEKANE UNAJUA ANACREATE AWARENESS KIASI GANI?
 
DUUUH! SOMA KWA MAKINI ULICHOANDIKA MKUU, UMESOMA MARKETING MKUU? TAFUTA KITU KINACHOITA AIDA MODEL, AZAM KILA ANAPORUSHA GAME LAZIMA NENO VODACOM LIONEKANE UNAJUA ANACREATE AWARENESS KIASI GANI?
Unachosoma darasani sio lazima kiendane na uhalisia sanasana kinakusaidia kuongeza uwezo wako wa kufikiri.
 
Kwanini tusithamini lugha yetu na kuiita "LIGI KUU"

"premier league" ni brand ya ligi ya Uingereza na tunapotumia hilo jina kama tuna-lack originality. Labda hii ni kwasababu viongozi wengi wa mpira hawana exposure na wana uelewa mdogo sana wa branding and marketing.
 
Back
Top Bottom