Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Au iitwe Sinema Zetu Premier leagueLigi iitwe Azam Premier league tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au iitwe Sinema Zetu Premier leagueLigi iitwe Azam Premier league tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Inamaana itaitwa Vunja Bei Premier LeagueVunja bei achangamkie fulsa hii.
Nimesikia clouds wakimuhoji mtu wa bodi ya ligi kumbe voda walianza kukwama toka last year, walishindwa kutoa bilioni tatu ya mwaka wa mwisho ya mkatabaVodacom wameogopa aibu na fedheha. Embu fikiria kama Azam ambao sio wadhamini wakuu wameweka mpunga mrefu vile je hao Vodacom wangeweza kuweka mpunga mrefu kiasi gani wa kuuzidi Azam ili kuonekana kuwa wao ndio wadhamini wakuu?
Kwanini tusithamini lugha yetu na kuiita "LIGI KUU"
"premier league" ni brand ya ligi ya Uingereza na tunapotumia hilo jina kama tuna-lack originality. Labda hii ni kwasababu viongozi wengi wa mpira hawana exposure na wana uelewa mdogo sana wa branding and marketing.
Voda ni genge la wahuni,kwanza vifurushi vyao ni vya wizi wizi tu,gb 10 zinakata ndani ya lisaa hapo huja download kitu chochote.
Sawa lakini kwa pesa kiduchu hizo hizo, hoja hapa ni kwamba kuna mapunga yalikuwa yanalaumu Tff na azam kwa mkataba eti pesa ni kiduchu afu mkataba mrefu. Sasa huu ni wakati wao waweke hizo pesa nyingi kwenye ligi ili wafaidi nao maana tayari Vodacom wamejitoa sio kubwabwaja domo kama kujambaHao Vodacom ndio wamewainua na kuwafikisha hapo mlipo leo muwe na adabu, na huyo Azam hata kama atapata zaidi nyie mnachekelea tu.
Azam waichukue mazima itapendeza zaidiLigi iitwe Azam Premier league tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Hawa mbwa leo nimejitoa rasmi kwao nimehamia Tigo nateleza na 4G hapa .Nafikiria kuitoa laini yao kwenye simu niwe na Tigo na Htel.Ni wezi sana hao,wanataka hasara zao tubebe sisiVoda ni genge la wahuni,kwanza vifurushi vyao ni vya wizi wizi tu,gb 10 zinakata ndani ya lisaa hapo huja download kitu chochote....
Kwa kawaida wanaorusha matangazo wanatoa pesa ndefu kuliko mdhamini wa ligi. Hiyo ipo wazi kwa nchi zote. Pesa anayotoa Dstv kurusha ligi ya Epl na ligi zinginezo huwezi kufananisha na pesa ya mdhamini wa ligi. Mdhamini wa ligi anatoa pesa kiasi Cha kawaida tu.Vodacom wameogopa aibu na fedheha. Embu fikiria kama Azam ambao sio wadhamini wakuu wameweka mpunga mrefu vile je hao Vodacom wangeweza kuweka mpunga mrefu kiasi gani wa kuuzidi Azam ili kuonekana kuwa wao ndio wadhamini wakuu?
Kuna awareness na kuna uhalisia ...DUUUH! SOMA KWA MAKINI ULICHOANDIKA MKUU, UMESOMA MARKETING MKUU? TAFUTA KITU KINACHOITA AIDA MODEL, AZAM KILA ANAPORUSHA GAME LAZIMA NENO VODACOM LIONEKANE UNAJUA ANACREATE AWARENESS KIASI GANI?