mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Hao jamaa siwapati ata hivyo era ya Juma Nature mimi sikiwepo moro.We inaelekea unawajua kinoma,,ila nammiss NASH G mzee wa mambo bado ,mambo bado,
,,mkuu na wale walioimba na juma nature kiitikio aliimba Nature kinasema hivi"MAISHA TUNAYOISHI MOROGORO NI KIMKANDAMKANDA
VYAKULA BEI ZINAPANDA
INGAWA RAHA HAZIPO LAKINI TUNAISHI,
MUNGU YUPO MUNGU YUPOOOOO" waliitwaje? Ila mi sio wa morogoro
Sawa mkubwaHao jamaa siwapati ata hivyo era ya Juma Nature mimi sikiwepo moro.
Ulikuwa himaya ipi mkuu?Watukutu.Hapa ni Swed,Puzzo,Salam na KeyDj
Wapayukaji.Hapa ni Doggy one,King killer,na Crazy P
ZdonP.Hapa ni Nash G,Squeezer na yusuph
BoyG.One man show
Dabble G.Sikumbuki
N.k...Promotes wakiongozwa na Mussa Maurusi
Battle ilikuwa Dar moro nani zaidi,Kiwanja kilikuwa rock garden,Moro hotel na Mango park.
Hapo hata Afande sele hajulikani kama yupo au atakuja kuwepo.
Konseti zilikuwa Forest hill zikiongozwa na Puzzo lee.Dj maarufu Peter moo,John K na Dilinga
Hivi hayo makundi yameishia wapi.Na hao watu wapo wapi kwa sasa.au ndio hawa wanaovuma wamebadili majina.
Uko sawa kabisaWengi hudhani hivyo lkn Mbaraka Mwinshehe si wa Morogoro..ni wa Kisarawe Pwani..moro alikua kikazi tu..Mbaraka mwinshehe alipokufa kenya alikuja kuzikwa Tanzanian katika Kijiji chake cha asili Mzenga kilichopo huko kisarawe
Wewe ni bwana Banzi wa Chenzema ama wapini kweli mluguru mi ni mluguru pure Mrs Ivan, jumlisha na uzaramo wa dutumi kibaha vijijini, mimi miaka ya 90's nimekaa sana moro chamwino,kwa mangi dolee tulikuwa tunacheki video pale,,,,,
We inaelekea unawajua kinoma,,ila nammiss NASH G mzee wa mambo bado ,mambo bado,
,,mkuu na wale walioimba na juma nature kiitikio aliimba Nature kinasema hivi"MAISHA TUNAYOISHI MOROGORO NI KIMKANDAMKANDA
VYAKULA BEI ZINAPANDA
INGAWA RAHA HAZIPO LAKINI TUNAISHI,
MUNGU YUPO MUNGU YUPOOOOO" waliitwaje? Ila mi sio wa morogoro
Mkuu upo sahihi kachanganya madesa kiaina ila hao aliwataja wengi wao walikuwa watoto wa shule maarufu 1994-2002.acha kuzingua wewe time io afande sele mtu pori anafanya mishe zake dar na Mr II sema alikuwa bitozi tofauti na sasa hivi ni culture.....shida apo umechanganya era ao kina nash G wako ni mwanzoni mwa miaka ya 2000
Umetisha sana MkuuSallam kwa sasa ni meneja wa WCB.
Peter Moe ni DJ wa clouds fm.
Puzzo Makassy alikuwa Sweden .
Swedi kafulia.
Boy G kafa kwa gongo za kichangani.
Nash G anaangaika tu na dunia.
Squeezer kafulia.
Crazy P kwa sasa O Ten anauza chips mjini hapa.
John Dilinga anafanya biashara pia anapiga mziki kempisky kila weekend.
Wengine sikumbuki ila kiboko yao wote alikuwa Mc Ndolo marehemu aliyekufa kwa ngoma. Mnyawezi mipaka hivyo.
Upo sahihi Mkuu!Tafuta album ya II PROUD ya miaka ya 90 albam inaitwa SIKU ndo utajua sio tu AFANDE kawai kupanda stejini ila kawai pia kuingia studio kabla ya hao waluguru wenu