Mliompotosha tuambieni Ramadhani Singano yuko wapi

Na uzuri simba asingetemwa.

Mwenzake Ndemla yupo tu kiwango kinapanda na kushuka ila yupo tu pale simba.

Kiburi kilimponza dogo, Azam wakamtema akaokotwa na mazembe nao wamemtupa migodini zambia huko.
Acheni kufoji mikataba nyau nyie
 
Ramadhani Singano yupo Nkana FC ya Zambia analipwa mshahara wa Dola 4000 kwa mwezi, sawa na milion 9 na laki mbili. Hakuna mchezaji yoyote mzawa wa Simba au Mtanzania katika klabu yoyoyote anaye lipwa fedha iyo apa Bongo. Mshahara wa Singano ni mara tisa ya msemaji wa Simba.
 
We jamaa kweli ni Redio, hizo data kawape wajinga wenzio huko utopolo. Nkana wamekuwa kucheza na Namungo hapa Tz,huyo Sindano haukuwepo hata kwenye lineup hata mechi ya Kule kwako Zambia hakuwepo.Yaani Kiufupi Singano hachezi Nkana.
 
We jamaa kweli ni Redio, hizo data kawape wajinga wenzio huko utopolo. Nkana wamekuwa kucheza na Namungo hapa Tz,huyo Sindano haukuwepo hata kwenye lineup hata mechi ya Kule kwako Zambia hakuwepo.Yaani Kiufupi Singano hachezi Nkana.
Mkuu ,kutokuwepo kwenye lineup tu kunatosha kujibu hoja mezani???!!
 
Hila ndugu zangu wa Simba mna nongwa kwani huyo singano na Gadiel Michael au Ajibu wana tofauti gani?

Ina maana Gadiel Michael na Ajibu walipotoshwa?
 
Singano kapotea kwenye ramani ya soka.
Wewe ndie ulie potea, ingia kwenye website ya Nkana utapata taarifa zake. Umbumbumbu wako na chuki zisikufanye uwe zuzu. Katika msululu wa wachezaji wa Nkana jina la Ramadhani Singano ni la 11.
 
Wewe ndie ulie potea, ingia kwenye website ya Nkana utapata taarifa zake. Umbumbumbu wako na chuki zisikufanye uwe zuzu. Katika msululu wa wachezaji wa Nkana jina la Ramadhani Singano ni la 11.
Naona unajaribu kulazimisha mnduku wako utafune muwa,na sio kazi ulioumbiwa.Komaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…