Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
GENTAMYCINE aahaaaaStars imefuzu, imekaba mwanzo mwisho, hongereni sana ila wachambuzi wote wa soka hapa bongo walimponda kocha kuwa amechagua wachezaji wabovu na wasiokuwa na uwezo, wachambuzi wamemdhalilieha sana kocha, Leo amedhihirisha kuwa mpira ni mbinu, sayansi na mikakati.
Wachezaji hawa hawa akina Bocco, Kibu wanaobezwa Simba ndio kocha kawapa nafasi, Benno Kakolanya aliyetemwa Simba ndiyo kaipeleka Stars Afcon.
Kuanzia leo nikikutana na wachambuzi mtaani ni makonzi tu
Acha bangiTanzania BINGWA afcon
Tunasahau kuwa wapinzani wetu walikuwa wameshavuka! Tena kwa kuzifunga timu zote mpaka huko kwao, tukiwepo na sie Tanzania!Muhimu tumefuzu. Mengine hamna kitu. Halafu hatujakaba ila tumezuia.
Mungu alikuwa upande wetu. Tushukuru kwa kufuza lakini hamna cha maana kwa Stars.
Tushuruku kwa Uganda kuwa katika kipindi kibaya.
Wacheza kama wameokotana
Ulitazama mechi?Tunasahau kuwa wapinzani wetu walikuwa wameshavuka! Tena kwa kuzifunga timu zote mpaka huko kwao, tukiwepo na sie Tanzania!
Tufurahie, lakini mioyoni mwetu tujue, jamaa WAMETUACHIA tu!
Beki za Taifa stars.
Hawajatuachia sisi, wamemuachia kocha wetu ambae ni mualgeria mwenzaoTunasahau kuwa wapinzani wetu walikuwa wameshavuka! Tena kwa kuzifunga timu zote mpaka huko kwao, tukiwepo na sie Tanzania!
Tufurahie, lakini mioyoni mwetu tujue, jamaa WAMETUACHIA tu!
Team ipi ilikuwa inaenda kushinda refa akamaliza game? Kipindi cha pili sikuchekiNawapongeza Taifa Stars, japo lengo lilikuwa kufuzu na imekuwa ila huko mbele tusirudie hiki kitu mlichofanya jana.
Wale waarabu wapo vizuri sana, yaani ni vile tu waliamua kitupatia nafasi huku wao wakiwa hawana hasara.
Mpira wameucheza haswa mfano possession wao 80.5 na sisi 19.5 ni mbali sana ukiangalia, uchezaji wao wa pasi hadi kwenye 18 ungeweza kusema jamaa walituacha tu.
Upande wa pili refa alikuwa mshamba sana, mpira upo kwenye move na Rasta anaenda kufunga eti anamaliza mpira #^¢¶%$7%™ zake refa!!.
Kuna Wachambuzi au Wachambaji?Stars imefuzu, imekaba mwanzo mwisho, hongereni sana ila wachambuzi wote wa soka hapa bongo walimponda kocha kuwa amechagua wachezaji wabovu na wasiokuwa na uwezo, wachambuzi wamemdhalilieha sana kocha, Leo amedhihirisha kuwa mpira ni mbinu, sayansi na mikakati.
Wachezaji hawa hawa akina Bocco, Kibu wanaobezwa Simba ndio kocha kawapa nafasi, Benno Kakolanya aliyetemwa Simba ndiyo kaipeleka Stars Afcon.
Kuanzia leo nikikutana na wachambuzi mtaani ni makonzi tu
Kibendera kilikuwa juu kuashiria ni offsideNawapongeza Taifa Stars, japo lengo lilikuwa kufuzu na imekuwa ila huko mbele tusirudie hiki kitu mlichofanya jana.
Wale waarabu wapo vizuri sana, yaani ni vile tu waliamua kitupatia nafasi huku wao wakiwa hawana hasara.
Mpira wameucheza haswa mfano possession wao 80.5 na sisi 19.5 ni mbali sana ukiangalia, uchezaji wao wa pasi hadi kwenye 18 ungeweza kusema jamaa walituacha tu.
Upande wa pili refa alikuwa mshamba sana, mpira upo kwenye move na Rasta anaenda kufunga eti anamaliza mpira #^¢¶%$7%[emoji769] zake refa!!.
Haswaa, maneno yanaumba.Taifa Stars itabakia kuwa kichwa cha mwendawazimu milele na milele. Labda Mzee Mwinyi aifute hiyo kauli yake kabla ya kuondoka hapa duniani.
Uliangalia mpira!?Tunasahau kuwa wapinzani wetu walikuwa wameshavuka! Tena kwa kuzifunga timu zote mpaka huko kwao, tukiwepo na sie Tanzania!
Tufurahie, lakini mioyoni mwetu tujue, jamaa WAMETUACHIA tu!
Wamepiga mashuti mangapi na mangapi yamelenga lango!?Nawapongeza Taifa Stars, japo lengo lilikuwa kufuzu na imekuwa ila huko mbele tusirudie hiki kitu mlichofanya jana.
Wale waarabu wapo vizuri sana, yaani ni vile tu waliamua kitupatia nafasi huku wao wakiwa hawana hasara.
Mpira wameucheza haswa mfano possession wao 80.5 na sisi 19.5 ni mbali sana ukiangalia, uchezaji wao wa pasi hadi kwenye 18 ungeweza kusema jamaa walituacha tu.
Upande wa pili refa alikuwa mshamba sana, mpira upo kwenye move na Rasta anaenda kufunga eti anamaliza mpira #^¢¶%$7%™ zake refa!!.
Team ipi ilikuwa inaenda kushinda refa akamaliza game? Kipindi cha pili sikucheki
Wale siyo wachambuzi .ni wachambajiStars imefuzu, imekaba mwanzo mwisho, hongereni sana ila wachambuzi wote wa soka hapa bongo walimponda kocha kuwa amechagua wachezaji wabovu na wasiokuwa na uwezo, wachambuzi wamemdhalilieha sana kocha, Leo amedhihirisha kuwa mpira ni mbinu, sayansi na mikakati.
Wachezaji hawa hawa akina Bocco, Kibu wanaobezwa Simba ndio kocha kawapa nafasi, Benno Kakolanya aliyetemwa Simba ndiyo kaipeleka Stars Afcon.
Kuanzia leo nikikutana na wachambuzi mtaani ni makonzi tu