Igunga leo
Senior Member
- Nov 19, 2016
- 114
- 217
Hapana uhusiano wetu na serikali ya Felix uendelee hii mechi ilikuwa iishe kwa 8-0 ila jamaa wakapunguza kidogoNaomba majeshi yetu yaliyoko Congo yarudishwe tu huu sio ujirani mwema kabisa hawa watu wanafiq hawawezi kutufanyia hivi sisi watanzania wanasahau majeshi yako mstari wa mbele huko Congo.[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kona ya kwanza beki za simba zinaruhusu kipa wao abanwe na foward sumbufu za vital kisha mpigaji awe free mi nawaza mbona hii ni technic nayowafundisha wanafunzi kabisa hapa shuleni watalaamu kama wale wanashindwa vipi kuyajua haya?mleta uzi hongera kwa kuyaona haya kwenye mechi ya leo..
huwa najiuliza. shabalala huwa wanampanga wa kazi gani?? mfupi namna ile hana ubavu kama genta anavyosema. ni mara mia hata kwasi acheze ubavu wa kushoto kuliko shabalala!..
lile goli lá kona liliniacha na maswali mengi kuhusu wawa.. kwanza mpira ulipita juu yake na yeye hakuruka angalau aurudishe hata kule kwenye kona au hata nje kwa kichwa.. jamaa wa as vira akaruka free kabisa..
pia pale kwenye kiungo mkude pekee ndo alioneaha kuwa na uchungu na mechi hiyo..
Niyonzima anakuja alikuwa swala 5 tena muumini ile mbaya kipindi anakaa makuti ila huwezi amini akaja kuwa mvuta bangi aliyekubuhu alikuwa akija kitaa kuna mshikaji wana ukaribu sasa akija huwa ni shangwe mapuli yananunuliwa na pombe hapo ni mwendo wa kunyonga na kunywa
Niyonzima migo imembadilisha sana..niyo alikuwa ustazi ,shehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Namshukuru Mwenyezi Mungu kidogo hizi Timu mbili Kubwa baadhi ya Wachezaji Wao ' Waandamizi ' kabisa hadi Viongozi Wao baadhi ni Marafiki zangu wakubwa na wazuri tu ila kwa Kiwango ' Kibovu ' nilichomuona nacho leo Chama ' Tripple C ' naanza sasa kupata hisia kwamba huenda ile mbinu iliyotumika ' Kumuua ' Kimpira Kiungo aliyekuja vizuri na alikonga nyoyo si tu za Yanga SC bali hata Sisi Simba SC Papy Kabamba Tshishimbi na leo ' Kwishnei ' kabisa.
Wapenzi wa hizi Timu mbili Kubwa walivyo au tulivyo ' Wapuuzi ' tukishampenda tu Mchezaji fulani basi haraka sana tutaanza Kumnunulia Bia, Kumtafutia Mademu tena yale Mashangingi kabisa ( Malaya ) wa Mjini huku ' tukidalalia ' ili Yule Demu akiwa anahongwa basi na Wewe hapo hapo unajua kuna 10% yako.
Kama ambavyo Tshishimbi amepotezwa Kimpira na Mimalaya ya Dar es Salaam, bila kumsahau Mtu mwingine Mshambuliaji Mzambia Felix Sunzu, Boniface Ambani sasa kwa huu ' Umaarufu ' wa ghafla wa Chama naona nae anaelekea huko huko ' Kupotezwa ' na Wajanja Wajanja. Lakini hata Waandishi wa Habari wa Kike nao kwa Kiasi Kikubwa mno wanachangia ' Kuua ' Vipaji vya Wachezaji wengi mahiri na wakubwa wa Ligi Kuu ya Tanzania hasa kwa ' Kujitongozesha ' Kwao Kilazima ili wawe nao na wawe wanapata ' Vijisenti ' vyao lakini pia wawe kama ndiyo ' Sources ' wao Wakubwa Kihabari na kuwarahisishia Kazi zao. Ipo Siku ' Mizimu ' yangu ikinipanda na ikikasirika nitawaanika hao Waandishi wa Habari wote wa Kike ambao wana huu ' Upuuzi ' kwa Wachezaji ila kwa sasa nawastahi kwa Kuwatunzia tu Heshima ila wajirekebishe.
Haruna Niyonzima alikuwa ni Swala Tano kabisa ila nikisema hapa alivyobadilika Kipindi cha mwisho alipokuwa Yanga SC na hata mwanzoni alipokuwa Simba SC wengi mnaweza mkalia bure kama siyo Kusikitika japo kidogo sasa baada ya Kusemwa semwa na Watu wake wa karibu ameanza Kubadilika. Beki kama Nadir Haroub ' Cannavaro ' siyo wa Kutundika daluga sasa hivi ila nae nikiweka hapa hadharani kilichommaliza / kilichomuua Kimpira hamtoamini ila nae namtunzia Heshima yake.
Chama asipowekwa chini, akaonywa na kujitambua sasa hivi nae yatamkumba ya Wenzake Tshishimbi na Niyonzima.
Makosa hayo yanathibitisha tuna kocha wa aina gani, hayo ni mazoezi ya training ground week in week out.Kona ya kwanza beki za simba zinaruhusu kipa wao abanwe na foward sumbufu za vital kisha mpigaji awe free mi nawaza mbona hii ni technic nayowafundisha wanafunzi kabisa hapa shuleni watalaamu kama wale wanashindwa vipi kuyajua haya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabdi alifanyie sana lile kosa kazi kona mbili zimetoa matunda mpigaji yuko free kabisa na kwenye kona ni kawaida kabisa kuwa yule anaewasumbua mabeki huwa sio mfungaji kabisa labda kwa bahati mbaya mfungaji huwa yuko mbali anamove na mpira unavyokuja na mara nyingi huwa ni beki au foward mrefu ukweli lile sio kosa la kuruhusu kwenye match tafu kama ileMakosa hayo yanathibitisha tuna kocha wa aina gani, hayo ni mazoezi ya training ground week in week out.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie na Kagere umakini kwenye nafasi aliyoipata pengine ndio imeigharimu Simba. Kipa anakuja ameinama badala ya kupiga mpira juu (kama Messi) yeye akamlenga, that was the beginning of the fall.Inabdi alifanyie sana lile kosa kazi kona mbili zimetoa matunda mpigaji yuko free kabisa na kwenye kona ni kawaida kabisa kuwa yule anaewasumbua mabeki huwa sio mfungaji kabisa labda kwa bahati mbaya mfungaji huwa yuko mbali anamove na mpira unavyokuja na mara nyingi huwa ni beki au foward mrefu ukweli lile sio kosa la kuruhusu kwenye match tafu kama ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mabeki anaowatumia ugenini hawawezi kutusaidia. Gyan, Tshabalala na Wawa hawawezi kucheza mpira wa kishambuliwa.Washabiki sijui wapenzi wa soka msiwe namihemko hivyo, kufungwa ni moja ya matokeo ya mchezo wa soka.
Kikubwa ni kuangalia mapungufu yalikua wapi nakuyafanyia kazi, vitu viwili ndivyo vilivyosababisha Simba kufungwa magoli mengi Jana
Kucheza bila tahadhari, na ukabaji wa hovyo .sijui Mkufunzi aliwaambia nini wachezaji na sikuona game plan ya timu ilikuaje, timu ilicheza kama inacheza na Majimaji FC
Magoli mawili ya kona tuliyofungwa wachezaji wa Vita walikua huru kabisa hakuna aliekabwa wakati mipira kama ya kona nilazima kila Mtu atembee na Mtu wake
Over confidence ndio iliofanya tukacheza bila tahadhari na hatimae tukaadhibiwa goli lakwanza mpira umeshindwa kumilikiwa kwa umakini ukamtoka kotei tukaenda kuadhibiwa
Goli la penalty mpira umeshindwa kudhibitiwa na Okwi nafikiri kama sio chama umekuja golini tukatoa penalty
Kocha usikae hapo unashika kidevu tu ongea na wachezaji watekeleze majukumu yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Namshukuru Mwenyezi Mungu kidogo hizi Timu mbili Kubwa baadhi ya Wachezaji Wao ' Waandamizi ' kabisa hadi Viongozi Wao baadhi ni Marafiki zangu wakubwa na wazuri tu ila kwa Kiwango ' Kibovu ' nilichomuona nacho leo Chama ' Tripple C ' naanza sasa kupata hisia kwamba huenda ile mbinu iliyotumika ' Kumuua ' Kimpira Kiungo aliyekuja vizuri na alikonga nyoyo si tu za Yanga SC bali hata Sisi Simba SC Papy Kabamba Tshishimbi na leo ' Kwishnei ' kabisa.
Wapenzi wa hizi Timu mbili Kubwa walivyo au tulivyo ' Wapuuzi ' tukishampenda tu Mchezaji fulani basi haraka sana tutaanza Kumnunulia Bia, Kumtafutia Mademu tena yale Mashangingi kabisa ( Malaya ) wa Mjini huku ' tukidalalia ' ili Yule Demu akiwa anahongwa basi na Wewe hapo hapo unajua kuna 10% yako.
Kama ambavyo Tshishimbi amepotezwa Kimpira na Mimalaya ya Dar es Salaam, bila kumsahau Mtu mwingine Mshambuliaji Mzambia Felix Sunzu, Boniface Ambani sasa kwa huu ' Umaarufu ' wa ghafla wa Chama naona nae anaelekea huko huko ' Kupotezwa ' na Wajanja Wajanja. Lakini hata Waandishi wa Habari wa Kike nao kwa Kiasi Kikubwa mno wanachangia ' Kuua ' Vipaji vya Wachezaji wengi mahiri na wakubwa wa Ligi Kuu ya Tanzania hasa kwa ' Kujitongozesha ' Kwao Kilazima ili wawe nao na wawe wanapata ' Vijisenti ' vyao lakini pia wawe kama ndiyo ' Sources ' wao Wakubwa Kihabari na kuwarahisishia Kazi zao. Ipo Siku ' Mizimu ' yangu ikinipanda na ikikasirika nitawaanika hao Waandishi wa Habari wote wa Kike ambao wana huu ' Upuuzi ' kwa Wachezaji ila kwa sasa nawastahi kwa Kuwatunzia tu Heshima ila wajirekebishe.
Haruna Niyonzima alikuwa ni Swala Tano kabisa ila nikisema hapa alivyobadilika Kipindi cha mwisho alipokuwa Yanga SC na hata mwanzoni alipokuwa Simba SC wengi mnaweza mkalia bure kama siyo Kusikitika japo kidogo sasa baada ya Kusemwa semwa na Watu wake wa karibu ameanza Kubadilika. Beki kama Nadir Haroub ' Cannavaro ' siyo wa Kutundika daluga sasa hivi ila nae nikiweka hapa hadharani kilichommaliza / kilichomuua Kimpira hamtoamini ila nae namtunzia Heshima yake.
Chama asipowekwa chini, akaonywa na kujitambua sasa hivi nae yatamkumba ya Wenzake Tshishimbi na Niyonzima.
Kuna watu nilikua nikiwaambia jana ile nafasi tuliyoipoteza ndio ilituanzishia maafa mchezo ungalikua tofauti kabisa kama tungefunga lile goliMwambie na Kagere umakini kwenye nafasi aliyoipata pengine ndio imeigharimu Simba. Kipa anakuja ameinama badala ya kupiga mpira juu (kama Messi) yeye akamlenga, that was the beginning of the fall.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote tuUsikonde mkuu. Uzuri Rage alisema baadhi yenu ni Mbumbumbu sio wote.
Makanjanja haoKuna watu mna vipaji kwakweli siku moja nyuzi zaidi ya 3, wakati mimi moja tu inanishinda nabaki kuwa msomaji tu.
Ndukiiiii [emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Shida ya kocha hajui acheze vipi, wapi na timu gani. Huwezi kucheza mpira wa kufunguka kwa AS Vita tena ugenini, ndio maana tumekula 5 huku tunaongoza possession. Tatizo namba moja kwa Simba ni kocha, enzi za akina Leschante na Masoud timu ilikuwa na very good discipline kwenye marking ndio maana kuwafunga Simba ilikuwa kazi ngumu sana.Kuna watu nilikua nikiwaambia jana ile nafasi tuliyoipoteza ndio ilituanzishia maafa mchezo ungalikua tofauti kabisa kama tungefunga lile goli
Japo tulitakiwa kukaba kwa umakini na kucheza kwa tahadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zingine Watu wenye umakini na jambo fulani wakiwa wanaandika na kushauri hapa msiwe wepesi sana wa Kutukana au Kudhihaki na badala yake muwe mnayasoma vizuri, kuyatafakari na hasa muyafanyie Kazi kwani kuna Binadamu wengine tumenyimwa tu Pesa na Mali ila Maono na Upeo wa hali ya juu Mwenyezi Mungu alitutunuku kama siyo kutubariki nao.
Wiki kama mbili zimeshapita sasa hapa hapa Jamvini nilikuja na Uchambuzi wangu wa Kiangalizo / Kiushauri kabisa kuihusu Klabu yangu ' pendwa ' kabisa ya Simba na hasa katika mechi zake hizi za Makundi ambazo imepangwa na Timu ngumu ila nilichoambulia ni dhihaka, matusi, kejeli huku nikibatizwa kwa lazima kuwa Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ni Yanga dam dam / kindakindaki.
Narudia tena leo japo najua wote tunaumia kwa Kipigo cha Kishalubela / Kikatili cha Kufungwa Goli 5 kwa Sifuri na AS Vita Club japo bado Watani zetu Yanga SC wanashikilia rekodi yao ya Kubugizwa / Kufungwa Goli 6 kwa Sifuri mwaka 1998 pale walipocheza na Klabu ya Raja Casablanca ya Morocco japo hata leo ilikuwa kidogo tu na Sisi Simba SC tuivunje hiyo rekodi kama si papara za Mafowadi wa AS Vita Club. Shukran kwake Maulana / Mola kwa hizo Goli Gwala / Tano.
Tuacheni Unafiki wala Kuficha ukweli hapa kwamba kwa Kikosi hiki cha Simba SC tusitegemee makubwa yoyote bali tuzitumie hizi mechi zetu Sita katika kujipatia tu uzoefu na pia Kujitangaza hasa kwa Wachezaji wetu baadhi wenye uwezo ili tuwauze, Timu ipate Pesa na tukijenge zaidi Kikosi chetu kwa Mashindano yajayo kama kwa Msimu huu tutachukua tena Ubingwa wa TPL japo dalili hizo sizioni kwakuwa hata Yanga SC na Azam nao bila kumsahau KMC Kimahesabu wana uwezo wa kuwa Mabingwa vile vile.
Kiufundi na najua kwa hili Wanasimba wengi mtanishangaa ila najua wale Wenzangu tuliocheza mpira hata kidogo au Wachambuzi na Wafuatiliaji wazuri watakubaliana nami kuwa kama kuna Mchezaji ambaye kwa leo pale Kinshasa ameigharimu Timu ' Dearly ' kabisa ni ' Kipenzi ' cha wengi kwa sasa Mchezaji Clatous Chota Chama.
Niliwahi kusema hapa hapa kwamba Chama ni Mchezaji mzuri ila Kiuzoefu zaidi Mimi nilikuwa napendelea sana mbele ya Mkude na Kotei awepo ama Haruna Niyonzima au Hassan Dilunga kisha Kipindi cha pili ndipo Chama awe anaingizwa au badi Kocha ' Uchebe ' Patrick Aussems abadili mfumo ili awe anamtumia Chama kama Kiungo wa Pembeni au amuanzishe pamoja na Niyonzima au Dilunga.
Mechi ya leo Chama ameigharimu Timu kabisa na muda mwingi alikuwa anacheza ' Kibishoo ' mno huku mara kwa mara akipoteza umakini wake na alisahau kuwa pale Simba SC tulikuwa ugenini na tulihitaji Ushindi pekee na siyo zile ' Mbwembwe ' zake ambazo amezoea Kuzitoa akiwa ' Kwa Mchina Stadium ' kisha Mashabiki wote ' wanatapika ' Uwanjani na Kumsifu huku akijiona Yeye ni Iniesta au Zidane wakati bado ni wa kawaida sana tu ila ' Kibongobongo ' anaonekana ni Mfalme.
Timu leo imefungwa kwa sababu nyingi sana ila Kubwa ni Saikolojia ya Wachezaji wa Simba SC, Wachezaji Kujisahau, Kulewa Sifa, Uzembe wa Kujirudia kwa Mabeki, Kiungo chote Kufichwa kama siyo Kufunikwa na Viungo wa AS Vita Club na Kujiona sasa kwamba wameshamaliza na wamechukua Ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika tayari wakati ukweli ni kwamba hata 25% ya kuyafikia hayo Mafanikio bado.
Nilionya ila sikueleweka vyema kuwa hakuna Beki ambaye Mimi hadi hivi leo sikupendezwa na Usajili wake kama Pascal Serge Wawa na Kuhoji ni kwanini Kocha Aussems alikuwa hapendi Kumtumia Beki mahiri na ninayemkubali kwa 100% Juuko Murshid kiasi kwamba Kukaa Kwake Mkeka / Benchi Kumeathiri mno Kiwango chake japo kidogo sasa kinarejea.
Nakumbuka nilisema kuwa kama Siku Simba SC itacheza na Azam FC na kwa aina ya Mafowadi wa Azam FC akina Chirwa na Ngoma walivyo na kama Simba SC tutampanga Beki Pascal Serge Wawa basi Siku hiyo Chirwa na Ngoma watakuwa wanaingia nyavuni ( wanafunga wanavyotaka ) na tutaaibika na kutafuta wapi tufiche Sura zetu hizi ngumu na zilizokomaa utadhani Kisigino cha Nyati.
Simba SC haiwezi Kushinda na Kufika mbali na Kikosi cha Wachezaji kama Wawa ambaye ni mzito, Mohammed Hussein Zimbwe Jr ambaye hana ubavu / nguvu za kuweza Kupambana na Mawinga machachari wa Timu pinzani na ndiyo maana kama umegundua Mechi nyingi Simba ilizofungwa Magoli mengi yalipitia Kwake.
Simba SC ya Fowadi kama John Boko ambaye ameshapoteza ule uwezo wake bora pamoja na akina Salamba huku ikiwa imesajili ' Kishamba ' kabisa Beki mzigo Zana Coulibaly kutoka Burkina Faso na hadi hivi leo haina Kocha Msaidizi ni dhahiri shahiri kwamba tusijidanganye tutafanikiwa bali tuendelee tu Kujiandaa Kisaikolojia kwa lolote litakalotutokea huko mbeleni. Kama leo AS Vita Club ametufunga Goli 5 vipi Siku tukikutana na wale wanaojua hata kuliko AS Vita Club hawa akina Al Ahly ya Misri? Kwa mpira huu wa Kipuuzi na Kitoto Simba SC tuliocheza leo kama tukicheza hivi hivi pia na Al Ahly kuna hatari ya Kufungwa kati ya Goli 13 hadi 17.
Ili Simba SC ifanye vizuri basi ivunje Benki yake na isajili Wachezaji wakubwa, wazuri na mahiri mno ambao wataweza Kushindana na Wenzao wanaofanana nao Kiuwezo na siyo hawa ' School Boys ' waliopo sasa. Timu isajili Wachezaji wenye Uwezo wa kama akina Okwi, Kagere, Chama, Murshid, Makambo, Walter Bwalya, Ronald Kampamba na wengineo ili iweze Kushiriki vyema Kimataifa tofauti na hapo tutaendelea tu Kujidanganya na Ubingwa Wetu wa Kuwafunga akina Ndanda FC, Stand United na Mbeya City au Lipuli FC.
Poleni sana Wana Simba SC wenzangu ila kwakweli leo akina Bandeko Nangai ( Wakongo ) wametuaibisha mno huku wakituchezea Mpira mwingi na pia hapo hapo Wakitufundisha Kucheza Mpira ili tukirejea Dar es Salaam Tanzania tuweze Kuwafuna akina Coastal Union na KMC. Namuonea huruma mno Msemaji wa Simba SC Haji Manara kwani kiukweli Simba tumeshafungwa sana tu hadi Kuzoea ila hii ya Kupigwa ' Hamsa / Tano ' tena kwa Sifuri limetuaibisha na kutudhalilisha kabisa.
Nawasilisha.
Kwa kweli inatia sana hasira mkuu.. lile goli hata sisi huku kitaa tunavyochezaga huwa hatufungwi goli kama lileKona ya kwanza beki za simba zinaruhusu kipa wao abanwe na foward sumbufu za vital kisha mpigaji awe free mi nawaza mbona hii ni technic nayowafundisha wanafunzi kabisa hapa shuleni watalaamu kama wale wanashindwa vipi kuyajua haya?
Sent using Jamii Forums mobile app