GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Link ya huo uzi tukafukue makaburiMimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Aah kweli ile ya siku ile waliingilia tu nyota yakoMimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Nimeshaweka Uzi niliosema hivyo.Link ya huo uzi tukafukue makaburi
ndio manaukaitwa talented felaNimeshaweka Uzi niliosema hivyo.
Shida nini. Ticket yenyewe umepewa bure π€£ππ€£Hapa nipo uwanjani,nangoja watu wapungue nisepe maana hata hamu ya kuinua miguu Sina.
Tanzania tunatia aibu asee!!
Hata Kama mkuu,inauma kufungwa nyumbani Tena dakika za lala salama.Shida nini. Ticket yenyewe umepewa bure π€£ππ€£
Unaniangusha...hivi ulikuwa siriaz kuwa hiyo ni mechi?Hapa nipo uwanjani,nangoja watu wapungue nisepe maana hata hamu ya kuinua miguu Sina.
Tanzania tunatia aibu asee!!
Mkuu,Unaniangusha...hivi ulikuwa siriaz kuwa hiyo ni mechi?
Wenzako walikuwa wanatania kuwa kuna mechi eti nawe ukaingia kuutazamaπππππ
Sasa unaumia nini?Mkuu,
Mimi ni camera man/photographer,nafanya live coverage uwanjani. Sikuwa na jinsi.
Ila tumetia aibu Mara mbili,kufungwa na kuzima taa zaidi ya dakika 20.
Kufungwa.Sasa unaumia nini?
Unaumia nini tukifunga huwa ni muujiza?Kufungwa.
Mimi ni mtanzania kindakindaki,siyo mburundi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Uzi wenyewe ulikuwa ni huu..."Kuna Kitu nataka niseme kuhusiana na Mechi ya leo ngoja ninyamaze Presha zisiue Watu"
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!