Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Mechi walishaichungulia wakaona leo hatutoki wakaamua kuzima taa ili kusudi ighairishwe ila waganda wakakomaa kuwa watasubiri mpk taa ziwake ili mechi iendelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nipo uwanjani,nangoja watu wapungue nisepe maana hata hamu ya kuinua miguu Sina.
Tanzania tunatia aibu asee!!
Pole sana, ndio mpira huoHapa nipo uwanjani,nangoja watu wapungue nisepe maana hata hamu ya kuinua miguu Sina.
Tanzania tunatia aibu asee!!
Hapa nipo uwanjani,nangoja watu wapungue nisepe maana hata hamu ya kuinua miguu Sina.
Tanzania tunatia aibu asee!!
Mmeshaanza..... Taifa Stars ingeshinda ungeyatapika haya yote Mkuu?Sasa zimbwe na kapombe walijumuishwa kikosini wanini? Tuache kuabudu usimba na uyanga kwenye timu ya taifa ni upuuzi
wachezaji waliamini wameshinda,fei eti kaingia kuonesha mpira anaujuaUzi wenyewe ulikuwa ni huu..."Kuna Kitu nataka niseme kuhusiana na Mechi ya leo ngoja ninyamaze Presha zisiue Watu"
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Hakuna Mwingine na hapa Watu kama Greatest Of All Time na OKW BOBAN SUNZU Wanaonichukia watambue kuwa Ushindi wangu wa Jukwaa la Michezo mwaka 2022 ulistahili na Zawadi yangu Nono niliyoichukua Jana Ofisi za JamiiForums ilikuwa ni Haki yangu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Genta the Great
Mtasema yote leo Wanafiki wakubwa.😂😂😂😂
Unamjumuisha kapombe na Mohamed kwenye timu wa Nini unamuita mchezaji mwenye kiburi,msaliti tunahaki ya kufungwa
Niliyaandika humu asubui kuhusu waliojumuishwa kikosini, hata kama tungeshinda bado kauli yangu ni ile ile.Mmeshaanza..... Taifa Stars ingeshinda ungeyatapika haya yote Mkuu?
Uyanga na Chuki vinakusumbua hivi kuna Wachezaji walioharibu leo kama Mudathir Yahaya na Simon Msuva? Mbona Hawa ( tena walioanza ) huwasemi?
Mnafiki mkubwa Wewe.
[emoji23][emoji23]Watu wanacheza kama mganga anafukuza majini.
Timu ya mchongo mwalimu aliita kikosi kizuri ghafla wanajumuishwa wengine walioachwa si uchawi huo, ndio maana tumefungwa😂😂😂😂
Unamjumuisha kapombe na Mohamed kwenye timu wa Nini unamuita mchezaji mwenye kiburi,msaliti tunahaki ya kufungwa
Kwani ndiyo waliyofungisha? Zimbwe keshatoka ndiyo goli linaingia, Kapombe naye mpira haukupitia sehemu yake makosa yameanzia kati kwa viungo, na mabeki wa kati kuzubaa hadi mtu kapitia kwao.Sasa zimbwe na kapombe walijumuishwa kikosini wanini? Tuache kuabudu usimba na uyanga kwenye timu ya taifa ni upuuzi
Shida sio kufungisha, kila mchezaji ana impact yake uwanjani na ndicho kilichomfanya kocha akaacha kuwaita kwenye kikosi chake. Aliowaita aliamini watamfaa na kumpa matokeo, kulikoni kuja kumuongezea ambao hakuwaita awali?Kwani ndiyo waliyofungisha? Zimbwe keshatoka ndiyo goli linaingia, Kapombe naye mpira haukupitia sehemu yake makosa yameanzia kati kwa viungo, na mabeki wa kati kuzubaa hadi mtu kapitia kwao.
Muwe mnaangalia mpira na kama hamuuelewi muulize pia
Cc: Nut dr namugariGentaaaaa😂😂😂😂 karisimatiki fela gemu chenja alooo sikupingi😆😆😆
Sasa impact yao Ni ipi kweli lile goli?Shida sio kufungisha, kila mchezaji ana impact yake uwanjani na ndicho kilichomfanya kocha akaacha kuwaita kwenye kikosi chake. Aliowaita aliamini watamfaa na kumpa matokeo, kulikoni kuja kumuongezea ambao hakuwaita awali?
Ukiniambia ni maamuzi ya kocha kuwaita bila kushawishiwa nitakataa, bado tunashindwa kuheshimu maamuzi ya tunaowaamini kufanya kazi kwenye soka letu ni upuuzi kupangiana.
Unachoona wewe ni goli tu? Uwezi ukanielewa kama upo na usimba/uyanga ndani yako.Sasa impact yao Ni ipi kweli lile goli?
Hongera sana lakini jaribu kuwa humble na gentle kidogo.itakuongezea creditUzi wenyewe ulikuwa ni huu..."Kuna Kitu nataka niseme kuhusiana na Mechi ya leo ngoja ninyamaze Presha zisiue Watu"
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!