Mlionimiss sasa nimerudi Tusalimiane

Pole kwa safari ndefu na kupotea. Et Naskia mnachukuliaga upako Nigeria



Upako haupo Nigeria wala wapi, Upako no kutii na kufanya mile Mungu alichosema. Maandiko yasema; Mungu hayupo mbali, Bali yupo karibu kuliko hata nguo uliyovaaa
 
Upako haupo Nigeria wala wapi, Upako no kutii na kufanya mile Mungu alichosema. Maandiko yasema; Mungu hayupo mbali, Bali yupo karibu kuliko hata nguo uliyovaaa
Mlango/Msatari wa ngapi huo kwenye bible unasema hivo mtumishi
 
karibu Mtumishi wa Mungu, ombi lako muhm kwa jirani yangu nipo nae hapa tangu tukae anajikuna MATAKO na anachubuka baada ya kujikuna ebu omba Mtumishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…