Mlionitukana Na Kunidhihaki Kuhusu Taarifa ya Gadner Niombeni Radhi

Ila kwenye ule uzi kuna mtu alikusakama sana sana ngoja tumtag ili aoene hata aibu
 
Sijulikani Tu Na Clouds Media Group Bali Hata MALAIKA WOTE WA MBINGUNI Wananijua Na WANANIPENDA. Ungesoma Vizuri UZI Wangu Na KUUELEWA Nini Kiini Cha KUUANDIKA Usingekuja Na Hili Bandiko Lako. You're Absolutely Pathetic Dull.
Malaika wa mbinguni wanapingana na jitu lenye matusi,
 
Achana Nao Hao Mkuu NIMESHAWAZOEA Na Najua Kuwa TATIZO NI NYOTA.
Ha ha ha! Eti Tatizo Nyota??πŸ˜‰ Basi wasamebe 7x7x70: Na nina hakika kuanzia leo watakuwa na mtazamo tofauti juu yako; wameshajua kuwa wewe sio mwenzao. Wacha niishie hapa maana kuna mtu nitamkwaza nikikusifia sanaπŸ˜›
 
Popoma wa SAUT una shidaa.

Hao SAUT Ndiyo Wanaonipa Hiki KIBURI Chote Mkuu Na Big Up Sana Kwa WALIMU Wangu WALIONIAMBUKIZA Hizi AKILI Nyingi Na Za Hatari Kama Professor White, Dr. Charles Kitima, Dr. Bernadin Mfumbusa, Dr. Robert Ikachoi, Dr. Deitrik Kaijanangoma, Dr. Aidan Msafiri, Dr. Barack Otieno, Dr. Xavier Ng'atigwa, Professor Mwesigwa Baregu, Dr. Ayub Rioba Na Madaktari Wa Falsafa Watarajiwa Wawili Mr. Peter Mataba Na Robert Mkosamali Na Wengineo Wachache Waliobaki. Kuna TOFAUTI Kubwa Ya ELIMU Ya WAKATOLIKI Na Ya Wengine Na Sijawahi Kuona Mtu Aliyesoma Shule Ya WAKATOLIKI au Chuo Kikuu Chochote Cha WAKATOLIKI Halafu Akawa MJINGA au MPUMBAVU. Akhsante Sana Chuo Kikuu Cha SAUT Kwa KUNIJENGA Hivi Na Ndiyo Maana Popote Niwapo SIACHI KUWASIFIA Na KUWAPA Sifa Zenu Na Naomba Mtoe Elimu Hii Hii Kwa Wadogo Zangu Waliopo Huko Ili Mtuzalishie Products Za " Majiniasi " Na Siyo " Mangumbaru ".
 
Povu jingii kama mgonjwa wa kifafa, kwani kurudi kwake sisi tunafaidika na nini.
Yani jirani ashibe ujambe wewe?
 
Kiongozi jee hii ya kipanya na fina nao wamerudi?,nimesikiliza PB leo sijawasikia

GENTAMYCINE a.k.a " Le Mathematicien " Hakuja Na UZI Wa Aina Hiyo Bali Alikuja Na UZI Usemao Hatimaye Gadner G. Habash Arejea Rasmi Clouds FM Na NDICHO KILICHOTOKEA. Usinifananishe Na Wazushi Kwani SIFANANI Nao.
 
Mkuu sana Getamycine,
Natanguliza shukrani sana kwako. Mimi sio wale waliokudhihaki kuhusu ule Uzi wako lakini mimi niseme nimekuwa fans Wa member kama wewe amabao hutoa taarifa koz najua gharama ya utafutaji Wa taarifa ktk dunia ya sasa. Lakini kuna mambo yamenitatiza sana khsu uandishi Wako kwanza husema ww ni mnyarwanda, pili unataarifa nyingi za kiudukuzi tatu mambo mengi unaufahamu nayo that's very fine kwakweli kuna wakati nataka kuamini kuwa upo karibu na wavaa kaunda suti. Wasi wasi mkubwa ni kuwa kama ww kweli upo Rwanda kwa zaidi ya miaka 11 sasa na unataarifa nyingi za Tanzania ambazo nyingine hata outer circle spy hana. Je unamaana Rwanda wanatujua vizuri kiusalama? au je ww haupo Rwanda? Je jinsia yako na unavyojibainisha humu ni tofauti ? Je ni mtu tu Wa kujiongeza kama Yeriko Nyerere au Kibonde?
Samahani kama nimekukwanza.
Naomba kuwasilisha
 
Malaika wa mbinguni wanapingana na jitu lenye matusi,

Matusi Yapo Hata Katika MAANDIKO Unless Wewe Ni " MUUMIN JUHA " Na Siyo " MUUMIN MAARIFA " Kama Tulivyo Wengine. Pole Sana! Sasa Kama Unashindwa Tu Kujua Kuwa Hata Katika MAANDIKO Kuna Matusi Yalikuwepo Japo Ya Kistaha Na Kuna Pengine Tafsida Tu Zimetumika Sasa Huko Unapoenda Kusali Unafuata Nini?
 
Ha ha ha! Eti Tatizo Nyota??πŸ˜‰ Basi wasamebe 7x7x70: Na nina hakika kuanzia leo watakuwa na mtazamo tofauti juu yako; wameshajua kuwa wewe sio mwenzao. Wacha niishie hapa maana kuna mtu nitamkwaza nikikusifia sanaπŸ˜›

Akhsante Mkuu ILA Hata Wewe Ukiona Aibu Kunisifia Naamini MALAIKA Wa Mbinguni Watanisifia Tu Daima. Leo Kuna Watu WAMEUMBUKA KUNAKOTUKUKA.
 
Povu jingii kama mgonjwa wa kifafa, kwani kurudi kwake sisi tunafaidika na nini.
Yani jirani ashibe ujambe wewe?

Akhsante Kwa KUCHANGIA Na UMEONYESHA Ni Jinsi Gani NINAVYOKUKERA au KUKUUDHI Kwa AKILI Na UPEO Mkubwa Nilionao Ambao Si Wewe Tu Bali Yawezekana Hata Katika KOO Zako Zote Mbili Hakuna.
 
Akhsante Mkuu ILA Hata Wewe Ukiona Aibu Kunisifia Naamini MALAIKA Wa Mbinguni Watanisifia Tu Daima. Leo Kuna Watu WAMEUMBUKA KUNAKOTUKUKA.
Jamani na wewe basi soma btwn the lines, hapo mwenzako ndio nishakusifia hivyo!! Tatizo sio aibu, kuna babu humu nitamuumiza roho nikikusifia kwa uwazi. Umenisoma?πŸ˜‰
 
Unda jopo la wanasheria ukawashtaki ICC Wote walio kudhihaki!
 
Vipi, umeshaacha kutembea na mafuta ya mgando kwenye mfuko wa shati@Gentamycine? .
 
Hero yangu mimi nilipita kimya kwenye huo uzi nikaenda kupambana na wakorofi wangu kule kwenye nyuzi za ulozi na ushirikina
 
Binafsi Nimekuelewa sana. Keep it up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…