Mlionunua vitu 'tunza app' mnisaidie

Mlionunua vitu 'tunza app' mnisaidie

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,678
Reaction score
1,617
Hello guys, mimi ni mtanzania mwenye kipato cha chini, nimeona Vodacom M-pesa app kuna kipengere wameanzisha cha kununua bidhaa kwa kulipia taratibu TUNZA APP nikaona huenda ni jambo zuri maana zipo bidhaa nazozitaka ila siwezi kulipa keshi.

Je kuna wadau humu ambao mmefanikiwa kununua bidhaa kupitia mpesa app na vipi huduma zao na bidhaa kwa ujumla hali ikoje?

Nimeona siwezi kufanya uamuzi wowote bila kuwasiliana na nyie humu maana nikisema niwaulize Vodacom bado siyo njia nzuri kwani wao siyo wanunuzi bali ni partner wa hiyo biashara.

Naombeni msaada kwa mtu yeyote mzoefu ili nisiingizwe chaka,nitafurahi endapo nitapata muongozo sahihi kutoka kwenu.🙏
 
Tunza app wapo vizuri mimi niliwai kununua simu kwa kulipia kidogokidogo, kuna kipindi nilitaka kununua friji niliweka hela ikafika 160k kuna janga nikalipata nikawaomba nicancel manunuzi wakaniludishia hela yangu japo kuna kiwango kidogo wanakata
 
Tunza app wapo vizuri mimi niliwai kununua simu kwa kulipia kidogokidogo, kuna kipindi nilitaka kununua friji niliweka hela ikafika 160k kuna janga nikalipata nikawaomba nicancel manunuzi wakaniludishia hela yangu japo kuna kiwango kidogo wanakata
Ulitumia app direct au ulipitia mpesa aap? Vp kuhusu usagiri coz niko mkoani
 
Mbona wanauza vitu bei ya juu sana? Na vipi usalama wa fedha mteja anao toa kidogo kidogo?
 
Back
Top Bottom