Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

[emoji117]Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi

[emoji117]Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao

[emoji117]Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja

[emoji117] Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Mkuu hapo kwenye kuoa Malagalasi umetisha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji117]Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi

[emoji117]Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao

[emoji117]Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja

[emoji117] Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Hujui wewe kwanza

maji ndo kismati bin hela hizo unazikoga!! usihamehame vitanda yapashe joto mpaka yajauke! hapo tena ukiamka asubuhi usioge utapata hela mpaka basi!

Kuingiza kizazi chao ni suna hiyo safi mtoto ata kuwa wako!! weka akili mpya kwa familia hujui nani atakulea kesho kwa uzuri!!

km anasikilizwa kwao mpige limbwata la kutoka huko huko kwao!

wanatupenda na sisi tuwapende tu mnasemaga mpende akupendae!!
 
@tajiri tumbo kubwa Kulikua na haja ya kutumia kingereza!!??

Ona sasa[emoji23][emoji23][emoji23]unavoaibika
Mkuu uko na shida kidogo, naaibika nini na kwanini??? kwani hii ni barua ya kuomba ajira niliadika au ni barua ya tender au??? no grammar, no perfection needed here pls, and for your info, i have MBA from oxford pls, stay safe covid is real, be blessed sir
 
mkuu uko na shida kidogo, naaibika nini na kwanini??? kwani hii ni barua ya kuomba ajira niliadika au ni barua ya tender au??? no grammar, no perfection needed here pls, and for your info, i have MBA from oxford pls, stay safe covid is real, be blessed sir
Hata mim nimemshangaa jamaa mbona kiswahili tunajiandikia tu lkn hakosoi ila ukiona hivyo mhusika hajui nin maana ya lugha, amekariri tu.
 
[emoji117]Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi

[emoji117]Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao

[emoji117]Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja

[emoji117] Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Hapo kwenye namba Tatu ni kwamba sio utakupachikia mtoto mmoja kutoka kwenye damu yao. Unaweza kuzaa na mwanamke wa Kinyarwanda(MTUTSI) watoto wa5 lakini siku mkivurugana atakwambia hapo watoto wa5 huna wako hata mmoja.

NIlifanya kazi sehemu mmoja wapo WATUTSI hapa Tanzania. Jamaa mmoja alioa mtutsi na historia ilionyesha jamaaa aliwekewa mizengwe sana asioe huyo mdada kama kumzuia asioe wakampiga mahari ya ng'ombe wengi aina ya nyankole.

Wakaishi miaka ikaenda ikarudi aseee wakazaa watoto.
Wamekuja zinguana na mwanamke, mwanamke karudi kwao kamwachia watoto baadae anampigia simu kamwambia hapo kama unaona kuna mtoto anafanana na wewe ni wako kama hakuna sio wako nakuja kuwachukua.

LETS CUT THE STORY.
Wanawake wa kitutsi wana damu kali aseee ukizaa nae lazima atoe kitu safi kuitizama kwa macho.

Kwenye namba mbili hapo ni kwamba hupenda nao kusikilizwa na kuheshimiwa hulka ambayo ni ya WANAUME sasa nao wanataka kuwa VIDUME ndani ya nyumba. Maamuzi atoe yy. Hela ashike yy. Aamue mgeni gani aje nani asije.

Hapa ndipo sasa hutafunwa na ndugu zake.
Atakuja binamu yake kusalimia kwako eti nimekuja kumsalimia dada. Kwa jinsi wamavyofanana watutsi huwezi kataa kwamba huyu sio kaka yako. Maana sura zao hufanana kama hujakaa nao kuweza kuwafahamu na kuwatofautisha. (KAMA WACHINA)
Wewe umetoka upo kazini, ndani sarakasi zinachezwa. Mtazaa watoto hata 7 huna wako hata mmoja.
 
mh! au na wewe ni miongoni mwao
Kwenye Bata ni kweli, niko huku kaka zao wenyewe wanakwambia kumhandle msichana wa kinywarwanda uwe una pesa hata akupendw vip kama huna pesa mtashea tena hasa kama ww sio mnyarwanda ndo kabisa

na kwa kias flan ukiwa na watoto nae .. jua hata malez yao yatakuwa controles na wakwe zako.. yaan kwa kias flan familia yako itaendeshwa na wakwe zako

labda ukae nae mbal mfano tz lakin ndo yanawwza kutokea yale yaliosemwa ya kukimbiwa na na watoto maana ukikaza sana usifate wanavyotaka wakwe watamwambia arud hom

na hayo ya juu sio kwa wanawake tu hata kwa wanaume.. kuna sista hapa bongo kazaa na mnyarwanda baada ya mtoto kukua akataka kumtorosha kumpeleka rwanda sister kustukia akapeleka mtoto kwao mkoa..

jamaa kuona hivyo akafunguka akasema anatakiwa akaoe kwao so hata angezaa nae watoto wangap lazima watoto warud Rwanda

Warundi ni humble zaidi ya wanyarwanda na wana care sana.. yaan mwanamke wankirundi ukiwa nae anakufanya kama mtoro wake tena yule wa dawa kama vile hata pata mwingine.. wako wanajua sana kusekeza na kujishusha
 
[emoji117]Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi

[emoji117]Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao

[emoji117]Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja

[emoji117] Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Wabongo tantalila nyingi....
na sisi wabongo tunawapenda sana mabinti wa kinyarwanda infact tunapendana....
 
Kwenye Bata ni kweli, niko huku kaka zao wenyewe wanakwambia kumhandle msichana wa kinywarwanda uwe una pesa hata akupendw vip kama huna pesa mtashea tena hasa kama ww sio mnyarwanda ndo kabisa
anakufanya kama mtoro wake tena yule wa dawa kama vile hata pata mwingine.. wako wanajua sana kusekeza na kujishusha
Well said bro. Burundi watutsi pia wapo ila wanatabia nzuri zinazoeleweka kama za wabantu wa bongo. Sifa nzuri za wanawake wa burundi kama za wanawake wa KIHA wa kigoma. Kiasi kwamba kama watutsi wa rwanda unawajua vizuri lazima utaona wapo tofauti na watutsi wa Burundi.
 
1. Wanaopenda Maisha mazuri na wana kauvivu fulani. Ukitoka kuwaoa uwe na economic stability;
2. They are very bright;
3. Wana high sexual drive, lazima uwe na uwezo wa kupiga mashine, Vinginevyo utasaidiwa sana.
Hadi kwenye sex wanajali 50% to 50%.
Hakubali umalize yeye bado.
Nilipitia makala moja BBC inaeleza tamaduni za wanyarwanda kwenye masuala ya sexual pleassure GUKUNA na KUNYANZA.
Nikasema wacha nifanye real practical maana nilipo wapo wengi sana aseeeeeeeeee.
Clitorius orgasm wanayo wale wanawake aseeeee.
Kingamuzi cha antena kinazidi cha dishi kwenye kunasa mawimbi.
Ukisugua kidogoooo water lakutoshaaaaa🙈🙊
 
Back
Top Bottom