Mliooa bikra tunaomba ushahidi kuwa mke wako kweli ametulia siku zote hajawahi kuliwa? Je, una amani?

Mliooa bikra tunaomba ushahidi kuwa mke wako kweli ametulia siku zote hajawahi kuliwa? Je, una amani?

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
726
Reaction score
476
Tuambie ikiwa wewe umeoa bikra je kweli bado mna amani ametulia miaka yote maana yake wanawake na shetani ni kama mahusiano ya chatu na mbwa.

Mimi kuna kahaba nataka kuoa sijali bikra hizo nitapokamilisha taratibu nitaomba michango yenu karibu mezani.

====

Mchnago wa Mdau

Mke wangu wa kwanza nilimuoa akiwa bikra. Nilikutana naye chuo fulani cha ualimu mkoani Kilimanjaro.
Wakati tunaanza alikua yupo sifuri kabisa kwenye mambo ya faragha, nilimvumilia na nilikua nampongeza kua anajitahidi sana kumbe sio kweli.

Kuna siku ali wrong namba akanitumia mimi sms yenye mlengo wa mahusiano ya kimapenzi "usinitumie tena sms mume wangu anakaribia kutoka kazini" daah nilistuka sana mazee mwili ukafa ganzi. Nilirudi nyumbani kichwa chini mikono nyuma kwa utulivu nikamwambia naomba simu yako kuna namba nii copy. Nikaenda upande wa sent items sikukuta sms hata moja nikajua keshafuta.

Usiku nilimbana sana akasema ukweli kua ni mwl mwenzake nika msamehe likapita maisha yakasonga.

Tuliishi lakini imani ya uaminifu kwa wife ilinipungua sana ingawaje alikua ni mpole sana jamani.

Baada ya miezi kadhaa nikashtukia tena usaliti wake mwengine tena huyo alimwambia hajaolewa. Nililifikisha kwa wazazi nalo likapita.

Tena nilimkamata tena na jamaa mwengine, nikasema mama kwahili itabidi uende tu.

Niliachana na wife kwa kosa la uzinzi tu lakini kwenye majukumu ya ki mwanamke aliyatimiza vizuri tu ila shida ilikua ni umalaya. Nilijua tu kua huyu ujana hajaumaliza ndio maana anakua hivi.
 
Mke wangu wa kwanza nilimuoa akiwa bikra. Nilikutana naye chuo fulani cha ualimu mkoani Kilimanjaro.
Wakati tunaanza alikua yupo sifuri kabisa kwenye mambo ya faragha, nilimvumilia na nilikua nampongeza kua anajitahidi sana kumbe sio kweli.

Kuna siku ali wrong namba akanitumia mimi sms yenye mlengo wa mahusiano ya kimapenzi "usinitumie tena sms mume wangu anakaribia kutoka kazini" daah nilistuka sana mazee mwili ukafa ganzi. Nilirudi nyumbani kichwa chini mikono nyuma kwa utulivu nikamwambia naomba simu yako kuna namba nii copy. Nikaenda upande wa sent items sikukuta sms hata moja nikajua keshafuta.

Usiku nilimbana sana akasema ukweli kua ni mwl mwenzake nika msamehe likapita maisha yakasonga.

Tuliishi lakini imani ya uaminifu kwa wife ilinipungua sana ingawaje alikua ni mpole sana jamani.

Baada ya miezi kadhaa nikashtukia tena usaliti wake mwengine tena huyo alimwambia hajaolewa. Nililifikisha kwa wazazi nalo likapita.

Tena nilimkamata tena na jamaa mwengine, nikasema mama kwahili itabidi uende tu.

Niliachana na wife kwa kosa la uzinzi tu lakini kwenye majukumu ya ki mwanamke aliyatimiza vizuri tu ila shida ilikua ni umalaya. Nilijua tu kua huyu ujana hajaumaliza ndio maana anakua hivi.
 
Mke wangu wa kwanza nilimuoa akiwa bikra. Nilikutana naye chuo fulani cha ualimu mkoani Kilimanjaro.
Wakati tunaanza alikua yupo sifuri kabisa kwenye mambo ya faragha, nilimvumilia na nilikua nampongeza kua anajitahidi sana kumbe sio kweli.
Mkuu wewe ni mkristo.?

Kama ndiyo basi una dhambia kubwa sana..

Unamsamehe Mzinzi mara mbili zoote?
 
Tuambie ikiwa wewe umeoa bikra je kweli bado mna amani ametulia miaka yote maanake wanawake na shetani ni kama mahusiano ya chatu na mbwa
Mimi kuna kahaba nataka kuoa sijali bikra hizo nitapokamilisha taratibu nitaomba michango yenu
karibu mezani
Mkuu wewe oa tu yule bar maid wako wa Mrina wala hakuna tatizo.
 
Bora kuoa chungwa tu maana machenza ndo hayafai
 
Mkuu wewe ni mkristo.?

Kama ndiyo basi una dhambia kubwa sana..

Unamsamehe Mzinzi mara mbili zoote..??
Nilikua nampenda sana mke wangu. Alikua ni mpole sana kana kwamba hata akienda hospitali haongei mpaka asemeshwe.

Ndugu na marafiki wakaribu walinishauri kua nisiwe mwepesi wa kuchukua maamuzi ya haraka.
 
Nilikua nampenda sana mke wangu. Alikua ni mpole sana kana kwamba hata akienda hospitali haongei mpaka asemeshwe.

ndugu na marafiki wakaribu walinishauri kua nisiwe mwepesi wa kuchukua maamuzi ya haraka.
Enhee neeext
 
Mke wangu wa kwanza nilimuoa akiwa bikra. Nilikutana naye chuo fulani cha ualimu mkoani kilimanjaro.
Wakati tunaanza alikua yupo sifuri kabisa kwenye mambo ya faragha, nilimvumilia na nilikua nampongeza kua anajitahidi sana kumbe sio kweli.

Pole na hongera, kuna funzo kubwa kwa yaliyokukuta
 
Mke wangu wa kwanza nilimuoa akiwa bikra. Nilikutana naye chuo fulani cha ualimu mkoani kilimanjaro.
Wakati tunaanza alikua yupo sifuri kabisa kwenye mambo ya faragha, nilimvumilia na nilikua nampongeza kua anajitahidi sana kumbe sio kweli.
Yani ndugu mambo mengi yahumu lazima uwe nazakuchanganyia mm naamini mtu yeyote anaweza kuchepuka ila swala lakuachana kwasababu hiyo inatakiwa usiwe namihemko wanawake wengi wanakera sana kila mtu anakasoro yake unaweza kupata asiwe malaya ila kusimamia majukumu yandani sifuri ndomana wengine huamua kuwarudia walewale
 
Yani ndugu mambo mengi yahumu lazima uwe nazakuchanganyia mm naamini mtu yeyote anaweza kuchepuka ila swala lakuachana kwasababu hiyo inatakiwa usiwe namihemko wanawake wengi wanakera sana kila mtu anakasoro yake unaweza kupata asiwe malaya ila kusimamia majukumu yandani sifuri ndomana wengine huamua kuwarudia walewale
Tatizo ni maradhi, kile kiungo ni chake maumivu au raha ni zake ila tatizo anaweza leta maradhi. Kwa misingi hii bora uvumilie asiyeweza kutimiza majukumu yake lakini si mzinzi.
 
Mke wangu wa kwanza nilimuoa akiwa bikra. Nilikutana naye chuo fulani cha ualimu mkoani kilimanjaro.
Wakati tunaanza alikua yupo sifuri kabisa kwenye mambo ya faragha, nilimvumilia na nilikua nampongeza kua anajitahidi sana kumbe sio kweli.
Asante broo umenifundisha kitu
 
Nilikua nampenda sana mke wangu. Alikua ni mpole sana kana kwamba hata akienda hospitali haongei mpaka asemeshwe.

ndugu na marafiki wakaribu walinishauri kua nisiwe mwepesi wa kuchukua maamuzi ya haraka.
Kama haongei darasan alikua anafundishaj wanafunzi
 
Mke wangu wa kwanza nilimuoa akiwa bikra. Nilikutana naye chuo fulani cha ualimu mkoani kilimanjaro.
Wakati tunaanza alikua yupo sifuri kabisa kwenye mambo ya faragha, nilimvumilia na nilikua nampongeza kua anajitahidi sana kumbe sio kweli.

Ogopa wanawake wapole, hutumii nguvu wala akili wewe ni kuvuta tu unapotaka akwende hawezi kataa
Nahisi wanakua na tatizo kidogo la "Psychology"
 
Back
Top Bottom