Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Afu mbona unabagua kwa waliooa tu?? ina maana tusiooa hatuvai 'boksa'.... lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
well said.Ishi maisha yako mkuu usiishi kwa kuwa watanifikiriaje
Mmh zikichuruzila maji huko chumbani?Me naanika chumbani.ipo sehemu maalum yenye nguo zangu na nguo za mkewangu
Ilo Ji chupi sasa hadi liiiweke majiMmh zikichuruzila maji huko chumbani?
Boxer saba tuu mbona chache ivo bossNina boxer saba rangi tofauti wife ananikomalia nisirudie, Tukiwa ugenini ndio sijui wapi anaanikaga ila home ni master
Hiyo safari unakuwa babu yangu Aspirin au mwenyewe????Kuwa nazo za Monday-Friday unafua zote Saturday unazianika nje kwenye jua. Nunua mbili tatu za ziada kama mvua zinanyesha.
Sisi tukiwa safarini to the moon inabidi tufue kila siku.
Kwanini unajiita culture GAL?Afu mbona unabagua kwa waliooa tu?? ina maana tusiooa hatuvai 'boksa'.... lol
Kwann unajiita RRONDO???Kwanini unajiita culture GAL?
Jibu kwanza kabla ya kuniuliza. Gal=girl?Kwann unajiita RRONDO???
Sometimes, swali kwa swali hutupatia jibu.Jibu kwanza kabla ya kuniuliza. Gal=girl?
Gal=gal?Sometimes, swali kwa swali hutupatia jibu.
Gal+Girl= Gal/Girl.Gal=gal?