Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ebu nisaidie huyo ni demu?
Hizo chupi zako huwa unazitanua kabisa,au unafunga?Mimi boxer za mume wangu na vyupi vyangu huwa naanika nje kwenye jua .kwa nini nijitese .
HahahhahahahahahhahahaabMe ninazo tatu na zina mwaka wa pili sasa..[emoji36]
Wewe huwa unapasi chupi? b honest...Mimi sipasi..kiukweli..Na hili ni tatizo kubwa sana hata kwa kina mama.chupi ni nguo kama nyingine zianikwe juani baada ya hapo zipigwe pasi kina dada wengi wanakuwa na uambukizo usioisha kwa sababu tu ya kuanika chupi uvunguni mwa kitanda..........reproductive system is very delicate asset protect em.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Tunaanika uvunguni
JF is never boring kwa kweli.Mm kila nikifua nabandika kambani kwan nan hatumii