Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Walioa bhana yaani kelele na kutikisa vitambi tu, hawatembei na vivuli vya wake zao. Wakiwa bar wao, mgahawani wao, lodge au gesti wao, ktmota wao, kuku wao, kwenye sebene wao.
Jazeni vitu vya maana kwenye mafrifge zero, pigeni shoo za maana zero, kwenye sebene mnaenda na migebuka, mkirudi home mmechoka viuno, mabomu hamuwezi kurusha, ukirusha hata mlima Bunagana bomu halifiki sasa M23 wataacha kumla mkeo na kuzaa nao hao wake zenu.
Kadri unavyo expire ndio mkeo anakuwa mukde mukide.
Shanta Shanta uzeeni mtalia sana.
Mkeo ndio rafiki yako zingatia mapema. Faraja ya nje Ibilisi hanaga huruma hio
Gdmon to all!
Jazeni vitu vya maana kwenye mafrifge zero, pigeni shoo za maana zero, kwenye sebene mnaenda na migebuka, mkirudi home mmechoka viuno, mabomu hamuwezi kurusha, ukirusha hata mlima Bunagana bomu halifiki sasa M23 wataacha kumla mkeo na kuzaa nao hao wake zenu.
Kadri unavyo expire ndio mkeo anakuwa mukde mukide.
Shanta Shanta uzeeni mtalia sana.
Mkeo ndio rafiki yako zingatia mapema. Faraja ya nje Ibilisi hanaga huruma hio
Gdmon to all!