Mlioomba transfer TCU mjiandae kucheleweshewa mikopo

praatt

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
206
Reaction score
132
Je, wewe ni miongoni mwa wanafunzi waliomba uhamisho kutoka chuo ulichopangiwa kwenda kingine na wakati huo tayari una allocation ya mkopo katika hicho chuo ulichopangiwa awali?

If yes, itabidi ujipange kama mkopo ndio ulitegemea awe mkomboz wako katika kila kitu.

Know why? Hiyo kitu huwa inachukua muda mrefu kinoma hata mwaka mzima, usifikiri nawatishia bali huo ndo ukweli maana nina data wakuu!
 
Acha zako mkuu, mkopo utahamishwa nina ushahidi mwaka jana watu walihama na mkopo uliwafikia b4 masomo hayajaanza usipotoshe umma mkuu!
 
Acha zako mkuu, mkopo utahamishwa nina ushahidi mwaka jana watu walihama na mkopo uliwafikia b4 masomo hayajaanza usipotoshe umma mkuu!

Teh teh teh, bro kama hii kitu inakuhusu majibu utayapata mwenyewe wala hautasimuliwa!
 
Hii ni kweli but ninavyofahamu utakosa boom la kwanza na la pili la tatu ni biyee.
 
Ni kwel kabsa hakuna siri hapo kuhusu walofanya transfer kuwa mikopo Yao itachukua mda mrefu kuwafikia.. mwaka Jana kuna jamaa wawili walimalza old moshi walifanya transfer kutok must kuna ardhi kiukwel walpata transfer ila unfortunately of the story jamaa ilibid waondoke chui coz mkop wao ulichukua mwaka Mzima ndo tumeapply nao chui mwaka huu .

Kwan hakuw na pesa za kujikimu. USHAURI WANGU KWA ALIEFANYA TRANSFER AJIANDAE KIKAMILIFU KUISHI NA PESA Za mzaz wake za kutosha..kama kuna anaebisha minor namba ya hiyo jamaa..

Asanten.
 
Proces za kuhamisha mkopo ukisha be alocated ni ngum kidogo na huchkua muda wa miez 3 (siku90) yaan waliohama mtapata bum la awam ya tatu kutoka hil la kwanza, na penyewe itategemea mmefuatilia kwa kias gan.

Yalitupata mwaka jana so msifarijiane.
 
Rafiki yangu alikuja kupata mkopo baada ya miezi sita, kweli mh. Unaongea ukweli kabisa
 
Hiyo kitu ya kuhama chuo na mkopo ni balaa asikwambie mtu, kuna dogo wa shngaz alitaka kufanya hivyo nikamzuia.

Chuon kwetu kuna madogo waliamia pale yaan waliowaishiwa walipata baada ya miez sita na wengine walipata kweny batch ya mwisho kama kuna mtu anabishi ani pm nimtumie namba ya mtu aliyeathiriwa na hyo transfer amsimulie vizuri.

Na kama wameamia vyuo vya mkoan wajiandae na root za mara kwa mara kuja Dar kufatilia mikopo yao.
 
kasigazi kalungi,

Hiyo kitu ya kuhama chuo na mkopo ni balaa asikwambie mtu, kuna dogo wa shngaz alitaka kufanya hivyo nikamzuia.

Chuon kwetu kuna madogo waliamia pale yaan waliowaishiwa walipata baada ya miez sita na wengine walipata kweny batch ya mwisho kama kuna mtu anabishi ani pm nimtumie namba ya mtu aliyeathiriwa na hyo transfer amsimulie vizur.

Na kama wameamia vyuo vya mkoan wajiandae na root za mara
 
Last edited by a moderator:
humu jukwaani kuna watu wanasema ukwel.yaan ishu ya mkopo kwa transfer ni mtafutano mpaka sasa sina uhakika ni lini nitapata hiyo hela..
 
Na vp kuhusu walio appeal then appeal zao zikawa successful je nao pesa inachelewa au?
 
Ni muhimu sana kupeleka taarifa za uhamisho mapema na ufuatiliaj binafsi..inasaidia sana
 
kuna baadhi ya vyuo majina ya waliofanya transfer na walioappeal mikopo yao tayari.
 
Huo ni ushamba wako Wa kutokujua protocol ufanyeje Ndio maana hela yako inachelewa unatakiwa uulizie tuu hatua gani ufanye cio kuwatishia watu. Hio kitu ni rahisi sana na fedha haisumbui ukijifanya jeuri na ushamba wako utakula jeuri yako
Acha kuwatisha watoto wenzio
 

Bodi imezidiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…