joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Usifanishe ulaya na Tz tume kulia kwenye tamaduni tofauti na mazingira tofauti, hii kitu ipo mimi nilisha simuliwa na mchezaji mmoja wa Simba vitu hivi vipo.Kwenye soka mkuu wangu huwa siamini uchawi! Hadi Akina Pogba,Hazard, Neymar n.k huwa wanakuwa majeruhi ulaya na kukaa nje muda mrefu sasa wao pia huwa wanarogana, na wakipona wanarudi na kuanzia walipoachia. Anyway poa mkuu yote ni Imani!
jipe muda wa kufuatilia kisha sahihisha imani yako mkuu.Kwenye soka mkuu wangu huwa siamini uchawi! Hadi Akina Pogba,Hazard, Neymar n.k huwa wanakuwa majeruhi ulaya na kukaa nje muda mrefu sasa wao pia huwa wanarogana, na wakipona wanarudi na kuanzia walipoachia. Anyway poa mkuu yote ni Imani!
Angefatilia mahojiano ya tshishimbi alipopata majeraha akiwa kwenye kochi anaangalia tvUsifanishe ulaya na Tz tume kulia kwenye tamaduni tofauti na mazingira tofauti, hii kitu ipo mimi nilisha simuliwa na mchezaji mmoja wa Simba vitu hivi vipo.
Watu hawajui hivi vitu ila vipo, Kapombe mwenyewe naye alikuwa na majeruhi mfululizo watu walimtonya akachungulie kwa babu, ndio sasa hivi Kapombe yupo stable.Angefatilia mahojiano ya tshishimbi alipopata majeraha akiwa kwenye kochi anaangalia tv
Huko Yanga ,Mapinduzi Balama , yakuba , Boxer . Yasini msitapha n.k. walipigwa na nani hiyo misumari mkuu? Hizo ni ajali kama zilivyo ajali nyingine kazini. Muhimu ni kuwaombea wanaokumbwa na hayo masaibu wawe wanapona haraka ili kuendelea na majukumu yao.Lwanga x Fraga
Fraga aliondoka Simba sababu ya majeraha. Haitoshi sasa Lwanga majeraha yanamuandama.
Mapenzi aliyokuwa nayo Fraga kwa Simba hayapimiki. Akapata majeraha kipindi ambacho alishaingia vizuri sana kwenye mfumo. Inauma sana.
Mambo ya kupigana misumarj sio ya kupuuza,yapo sana tu. Yanapaswa kukemewa na kila mtu bila kuogopa.
Wanaopiga misumari kwanza wanaharibu maisha ya wenzao,pili wanatia hasara club kulipa mshahara mtu ambaye hazalishi.
Ni vyema club iwe inafanya uchunguzi, Kama kuna mtu anapiga misumari hakuna haja ya kutumia nguvu,ni kumpiga chini wakati wa usajili tu.
Mzamiru,mkude na Ajibu ndiyo michezo yaoLwanga x Fraga
Fraga aliondoka Simba sababu ya majeraha. Haitoshi sasa Lwanga majeraha yanamuandama.
Mapenzi aliyokuwa nayo Fraga kwa Simba hayapimiki. Akapata majeraha kipindi ambacho alishaingia vizuri sana kwenye mfumo. Inauma sana.
Mambo ya kupigana misumarj sio ya kupuuza,yapo sana tu. Yanapaswa kukemewa na kila mtu bila kuogopa.
Wanaopiga misumari kwanza wanaharibu maisha ya wenzao,pili wanatia hasara club kulipa mshahara mtu ambaye hazalishi.
Ni vyema club iwe inafanya uchunguzi, Kama kuna mtu anapiga misumari hakuna haja ya kutumia nguvu,ni kumpiga chini wakati wa usajili tu.
Mpige misumari halafu umzidi kiwango cha ajabu unampiga misumari na kiwango chako bado duniLwanga x Fraga
Fraga aliondoka Simba sababu ya majeraha. Haitoshi sasa Lwanga majeraha yanamuandama.
Mapenzi aliyokuwa nayo Fraga kwa Simba hayapimiki. Akapata majeraha kipindi ambacho alishaingia vizuri sana kwenye mfumo. Inauma sana.
Mambo ya kupigana misumarj sio ya kupuuza,yapo sana tu. Yanapaswa kukemewa na kila mtu bila kuogopa.
Wanaopiga misumari kwanza wanaharibu maisha ya wenzao,pili wanatia hasara club kulipa mshahara mtu ambaye hazalishi.
Ni vyema club iwe inafanya uchunguzi, Kama kuna mtu anapiga misumari hakuna haja ya kutumia nguvu,ni kumpiga chini wakati wa usajili tu.
Kamuulize torres pale chelsea mbele ya drogba alifanywa nini ๐๐๐๐yeye na goli game ya united na akapiga nje.....sisi waafrika kwa jicho la tatu tulijua nini kafanyiwa na drogba ila yeye naamini mpaka anastaafu hajui kama aliwahi fanyiwa mazingaombwe mamaeeeKwenye soka mkuu wangu huwa siamini uchawi! Hadi Akina Pogba,Hazard, Neymar n.k huwa wanakuwa majeruhi ulaya na kukaa nje muda mrefu sasa wao pia huwa wanarogana, na wakipona wanarudi na kuanzia walipoachia. Anyway poa mkuu yote ni Imani!
Huu ni uchochezi . Unastahili kufunguliwa mashitaka kwa Kosa la uchochezi ndani ya klabu pendwa hapa Tz.Atakuwa mkude..ikibainika Ni yeye apigwe chini