GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwamba baada ya Waalgeria kuzuia Camera za Media za Tanzania kuingia Algeria hivi punde inasemekana wamezuia Yanga SC kuingia na Maji yao ya Kunywa na Unga na Mchele wa Kupika waliotoka nao Dar es Salaam nchini Tanzania na sasa Uongozi wao umeenda kuomba Msaada Ubalozi wa Tanzania nchini Algeria.
Kama ni ya kweli basi GENTAMYCINE nawapongeza mno Waalgeria na Timu yao ya USM Alger FC kwa Fitina walizofanya na watakazofanya pia.
Na ikiwezekana hawa Waarabu wawazuie Yanga SC ( Wachezaji na Mashabiki ) walioandamana na Timu Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) katika Vyoo vyao na kama Wakibanwa na Haja ( Kunya ) basi Wakanye ( Wakaukweke ) katika Ndege yao ATCL Dreamliner iliyowapeleka huko.
Si mnajifanya nanyi mnaweza Fitina za Soka kama za Simba SC waliokomaa na Utaalam huo bila ya hata Mtu yoyote kujua? Haya pambaneni nao ili Wawanyooshe vizuri na mshike Adabu zenu.
Kudadadeki....!!
Kama ni ya kweli basi GENTAMYCINE nawapongeza mno Waalgeria na Timu yao ya USM Alger FC kwa Fitina walizofanya na watakazofanya pia.
Na ikiwezekana hawa Waarabu wawazuie Yanga SC ( Wachezaji na Mashabiki ) walioandamana na Timu Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) katika Vyoo vyao na kama Wakibanwa na Haja ( Kunya ) basi Wakanye ( Wakaukweke ) katika Ndege yao ATCL Dreamliner iliyowapeleka huko.
Si mnajifanya nanyi mnaweza Fitina za Soka kama za Simba SC waliokomaa na Utaalam huo bila ya hata Mtu yoyote kujua? Haya pambaneni nao ili Wawanyooshe vizuri na mshike Adabu zenu.
Kudadadeki....!!