Tetesi: Mliopo Algeria hii Taarifa ni ya kweli ili Niifurahie zaidi?

Tetesi: Mliopo Algeria hii Taarifa ni ya kweli ili Niifurahie zaidi?

Kwamba baada ya Waalgeria kuzuia Camera za Media za Tanzania kuingia Algeria hivi punde inasemekana wamezuia Yanga SC kuingia na Maji yao ya Kunywa na Unga na Mchele wa Kupika waliotoka nao Dar es Salaam nchini Tanzania na sasa Uongozi wao umeenda kuomba Msaada Ubalozi wa Tanzania nchini Algeria.

Kama ni ya kweli basi GENTAMYCINE nawapongeza mno Waalgeria na Timu yao ya USM Alger FC kwa Fitina walizofanya na watakazofanya pia.

Na ikiwezekana hawa Waarabu wawazuie Yanga SC ( Wachezaji na Mashabiki ) walioandamana na Timu Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) katika Vyoo vyao na kama Wakibanwa na Haja ( Kunya ) basi Wakanye ( Wakaukweke ) katika Ndege yao ATCL Dreamliner iliyowapeleka huko.

Si mnajifanya nanyi mnaweza Fitina za Soka kama za Simba SC waliokomaa na Utaalam huo bila ya hata Mtu yoyote kujua? Haya pambaneni nao ili Wawanyooshe vizuri na mshike Adabu zenu.

Kudadadeki....!!
Hzo fitina simba zimewafikisha wp nyie c mlikuwa mnawanga hadharani kule south
 
Kwamba baada ya Waalgeria kuzuia Camera za Media za Tanzania kuingia Algeria hivi punde inasemekana wamezuia Yanga SC kuingia na Maji yao ya Kunywa na Unga na Mchele wa Kupika waliotoka nao Dar es Salaam nchini Tanzania na sasa Uongozi wao umeenda kuomba Msaada Ubalozi wa Tanzania nchini Algeria.

Kama ni ya kweli basi GENTAMYCINE nawapongeza mno Waalgeria na Timu yao ya USM Alger FC kwa Fitina walizofanya na watakazofanya pia.

Na ikiwezekana hawa Waarabu wawazuie Yanga SC ( Wachezaji na Mashabiki ) walioandamana na Timu Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) katika Vyoo vyao na kama Wakibanwa na Haja ( Kunya ) basi Wakanye ( Wakaukweke ) katika Ndege yao ATCL Dreamliner iliyowapeleka huko.

Si mnajifanya nanyi mnaweza Fitina za Soka kama za Simba SC waliokomaa na Utaalam huo bila ya hata Mtu yoyote kujua? Haya pambaneni nao ili Wawanyooshe vizuri na mshike Adabu zenu.

Kudadadeki....!!
Popoma kwa hili nakuelewaga sana fala wee 💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼 yaani bwege wanakuoneaga kama wanavyonioneaga mie kunigoga BAN 😡😡
 
Kwamba baada ya Waalgeria kuzuia Camera za Media za Tanzania kuingia Algeria hivi punde inasemekana wamezuia Yanga SC kuingia na Maji yao ya Kunywa na Unga na Mchele wa Kupika waliotoka nao Dar es Salaam nchini Tanzania na sasa Uongozi wao umeenda kuomba Msaada Ubalozi wa Tanzania nchini Algeria.

Kama ni ya kweli basi GENTAMYCINE nawapongeza mno Waalgeria na Timu yao ya USM Alger FC kwa Fitina walizofanya na watakazofanya pia.

Na ikiwezekana hawa Waarabu wawazuie Yanga SC ( Wachezaji na Mashabiki ) walioandamana na Timu Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) katika Vyoo vyao na kama Wakibanwa na Haja ( Kunya ) basi Wakanye ( Wakaukweke ) katika Ndege yao ATCL Dreamliner iliyowapeleka huko.

Si mnajifanya nanyi mnaweza Fitina za Soka kama za Simba SC waliokomaa na Utaalam huo bila ya hata Mtu yoyote kujua? Haya pambaneni nao ili Wawanyooshe vizuri na mshike Adabu zenu.

Kudadadeki....!!
Taira Pro max
 
Hivi Mkuu unakula na mods sehemu moja nini[emoji28][emoji28][emoji28] maana sio kwa wanavyokuandama
 
Kwamba baada ya Waalgeria kuzuia Camera za Media za Tanzania kuingia Algeria hivi punde inasemekana wamezuia Yanga SC kuingia na Maji yao ya Kunywa na Unga na Mchele wa Kupika waliotoka nao Dar es Salaam nchini Tanzania na sasa Uongozi wao umeenda kuomba Msaada Ubalozi wa Tanzania nchini Algeria.

Kama ni ya kweli basi GENTAMYCINE nawapongeza mno Waalgeria na Timu yao ya USM Alger FC kwa Fitina walizofanya na watakazofanya pia.

Na ikiwezekana hawa Waarabu wawazuie Yanga SC ( Wachezaji na Mashabiki ) walioandamana na Timu Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) katika Vyoo vyao na kama Wakibanwa na Haja ( Kunya ) basi Wakanye ( Wakaukweke ) katika Ndege yao ATCL Dreamliner iliyowapeleka huko.

Si mnajifanya nanyi mnaweza Fitina za Soka kama za Simba SC waliokomaa na Utaalam huo bila ya hata Mtu yoyote kujua? Haya pambaneni nao ili Wawanyooshe vizuri na mshike Adabu zenu.

Kudadadeki....!!
watukataze kunya au vyovyote kipigo cha 3-0 kipo pale pale
 
Kwa Aina ya Bandiko lake hili ningeshangaa Mods wakamfungia Macho
 
Teh teh teh teh teh et ndege inanuka mizizi dah lakini watu aisee
 
[QUOTE="Wakibanwa na Haja ( Kunya ) basi Wakanye ( Wakaukweke ) katika Ndege yao ATCL Dreamliner iliyowapeleka huko.

Kudadadeki....!!
[/QUOTE] Mkuu nmecheka kwa nguvu mpaka kupelekea kuwastua waliokuwa wameuchapa usingizi, dah!
 
Back
Top Bottom