Mliosema Simba alinunua kwa Polisi kumpiga 6, Leo Azam kamkandamiza Polisi 8 0 na Dube kaweka 4 mnasemaje

Azam unafananisaha na taka taka

Aka de Kolo wizard [emoji23][emoji23]
 
Achana na wapumbavu waliotoa mchezaji kwa ubwabwa wa ikulu.
 
Si mambo ya kuweka mizania sawa... ili tuone kama hakujatokea kitu
 
Gongowazi wapuuzi sana walimuacha Saido wakamchukua Morrison sasa wanajamba jamba ovyo,akili siyo kama matako kuwa kila mtu anayo,utopolo hawana akili kabisa
 
Gongowazi wapuuzi sana walimuacha Saido wakamchukua Morrison sasa wanajamba jamba ovyo,akili siyo kama matako kuwa kila mtu anayo,utopolo hawana akili kabisa
Nyie wajanja mliomchukuwa amewaletea nini zaidi ya hiyo robo fainali
 
asa mtu kashashuka why asiendelee kufanya biashara!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…