Mliosema Simba alinunua kwa Polisi kumpiga 6, Leo Azam kamkandamiza Polisi 8 0 na Dube kaweka 4 mnasemaje

Mliosema Simba alinunua kwa Polisi kumpiga 6, Leo Azam kamkandamiza Polisi 8 0 na Dube kaweka 4 mnasemaje

Azam unafananisaha na taka taka

Aka de Kolo wizard [emoji23][emoji23]
 
Juzi wajinga wajinga humu walipost kuwa Simba wamenunua migoli kwa Polisi ili Ntibazonkiza awe mfungaji bora na wakaenda mbali kwa kuitaka bodi kuchunguza, sasa Leo azam kamweka bao 8 0 huyo Polisi na Dube alikuwa ameshaweka mabao 4 nyavuni.

Haya Leo mnasemaje azam kanunua au vp?
Achana na wapumbavu waliotoa mchezaji kwa ubwabwa wa ikulu.
 
Si mambo ya kuweka mizania sawa... ili tuone kama hakujatokea kitu
 
Gongowazi wapuuzi sana walimuacha Saido wakamchukua Morrison sasa wanajamba jamba ovyo,akili siyo kama matako kuwa kila mtu anayo,utopolo hawana akili kabisa
 
Gongowazi wapuuzi sana walimuacha Saido wakamchukua Morrison sasa wanajamba jamba ovyo,akili siyo kama matako kuwa kila mtu anayo,utopolo hawana akili kabisa
Nyie wajanja mliomchukuwa amewaletea nini zaidi ya hiyo robo fainali
 
Juzi wajinga wajinga humu walipost kuwa Simba wamenunua migoli kwa Polisi ili Ntibazonkiza awe mfungaji bora na wakaenda mbali kwa kuitaka bodi kuchunguza, sasa Leo azam kamweka bao 8 0 huyo Polisi na Dube alikuwa ameshaweka mabao 4 nyavuni.

Haya Leo mnasemaje azam kanunua au vp?
asa mtu kashashuka why asiendelee kufanya biashara!!!
 
Back
Top Bottom