Katika kupiga stori huku mtaani nimekutana na hii.
Kuna jamaa mmoja alihitimu shahada ya kwanza ya Utalii (Cultural Anthropology and Tourism ) hapo Tumaini - Iringa mwaka 2008. Jamaa huyo anajuta sana, tena sana, kwa kuwa haajiriki. Tangu ahitimu, miaka takribani mitano iliyipita, kila anapokwenda kuomba kazi anaambiwa alivyosoma si sahihi (irrelevant), hivyo yupo chini ya ubira (under qualification). Na si kwake yeye tu bali hata wahitimu wenzake wanaambiwa vivyo hivyo.
Anasema inaweza walifundishwa visivyo kwa kuwa walifundishwa na waalimu waliojua masuala ya Utalli, mfano Linguisics.
Binafsi nimeshtuka kidogo, kusikia mtu amesotea miaka miatau katika shahada, ila haajiriki kwa kua alisoma 'matango pori'. Naomba kujua, je kweli?
Kuna jamaa mmoja alihitimu shahada ya kwanza ya Utalii (Cultural Anthropology and Tourism ) hapo Tumaini - Iringa mwaka 2008. Jamaa huyo anajuta sana, tena sana, kwa kuwa haajiriki. Tangu ahitimu, miaka takribani mitano iliyipita, kila anapokwenda kuomba kazi anaambiwa alivyosoma si sahihi (irrelevant), hivyo yupo chini ya ubira (under qualification). Na si kwake yeye tu bali hata wahitimu wenzake wanaambiwa vivyo hivyo.
Anasema inaweza walifundishwa visivyo kwa kuwa walifundishwa na waalimu waliojua masuala ya Utalli, mfano Linguisics.
Binafsi nimeshtuka kidogo, kusikia mtu amesotea miaka miatau katika shahada, ila haajiriki kwa kua alisoma 'matango pori'. Naomba kujua, je kweli?