Usirundike vitu..visome kila baada ya kufundishwa.pia usije fanya ujinga wa kudharau chemistry kama ilivyo kwa pcm wengi..u never know pia hata ukifaulu pm ukafeli c ..that means utaharibu divisheni
We ni teacher nini?
Asante kaka apo nimekupata na nimekuelewa
soma topic zote bila kuzembea. topic za f5 ni ngumu kuliko za f6.
physics is very challenging
good lucky
Kuhudhuria shule, kuwa na nidham nyingi za uoga siyo sababu za kujiamin kuwa unaweza kufaulu!!!!!
Kikubwa apa ni kujitambua na kuwa na ratiba unayo ieshim.
Kwa upande wangu nilipiga pcb na sinaga historia ya kufundishwa na mwalim na nakumbuka nikiwa form six nilishinda shule kwa zaid ya miezi saba mfululizo na mda mwingine nilikuwa na weza kumaliza zaid ya wiki bira kusoma....
Kikubw ni kujiamini tuu..(.................)
Na pepa la mwisho nilichana kama kawa na katika marks zangu hakuna kibundi aliye nikaribia.
Ni hayo tuu!!!
wasalaam...
Advanced Mathematics I and II (Parker)
Kama upo vizuri Tafuta Ramsden ya Physics na chemistry,Pia tafuta Mzumbe project na Advance Math Pure I na II.
Ukiendelea kukaa kwny mitandao namna hii tegemea div5
asanteTango pori upo wapi siku hizi? Kijana anataka ushauri huku.
Asante sana mr nitafanya ulivonambia vp kwanini necta 4m6 'A' kuwepo ni adimu xna
Do go unakwenda advanced levo sio uzembe wa o level acha kuwa ki advanced msuli kwa sanaaaa
Natanguliza shukrani,naombeni ushauri,mbinu na njia nzuri za kupambana na PCM kwani naenda kuanza masomo ya 4m5 apo mwezi wa 6
physics kwa kweli ni mziki mnene, kama uko dar nakushauri ukasome tution ya physics k/koo mchikichini kwa mwl MUDDY,huyu jamaa yupo vzuri mno.
ase kaka niko mbeya ila nakaza hata uku
mbeya tulikuwa tunapiga tuition Iyunga, mbeya day... na meta sec kwa mwalim shubi.
sometimes tunaomba Loleza japo ya girls lakini kipindi wakiwa likizo tulikuwa tunaruhusiwa.
sawa kaka nitajituma tu